• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Vipeperushi
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Maendeleo ya Jamii na Vijana

Maendeleo ya Jamii.

Maendeleo ya Jamii na vijana ni miongoni mwa idara katika Manispaa ya Ubungo idara ina vitengo viwili ambavyo ni vijana jinsia na watoto.

Idara inatoa huduma kwa jamii ili kuwezesha kupanga, kubuni, kutekeleza na  kusimamia shughuli zao za kiuchumi na kuwa na maendeleo endelevu.

Halmashauri kupitia Idara ya Maendeleo ya jamii ina jukumu kubwa la kuwezesha jamii yake katika kutambua uwezo wao katika kutatua matatizo ya Maendeleo.

Hili limefanyika kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa lengo la kuboresha maisha ya jamii kwa matumizi ya rasilimali zilizopo , idara ya Maendeleo ya jamii ina mamlaka ya kutambua na kuandikisha vikundi vya kijamii na kiuchumi ,mashirika yasiyo ya kiserikali na kuwaratibu.

Kwa sasa idara inatekeleza mipango mbalimbali kama vile VVU,na UKIMWI ,Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF, Mfuko wa mikopo ya wanawake na vijana, kamati ya uwezeshaji wanawake kiuchumi ya wilaya na mpango wa usimamizi wa maafa.

Idara ya Maendeleo ya Jamii inawajibika kutekeleza sera zifuatazo, sera ya maendeleo ya watoto-2008,sera ya Maendeleo ya Jensia -2000, sera ya Taifa ya VVU na UKIMWI -2001, Sera ya maendeleo ya Vijana-2007 na sera ya uwezeshaji wa Taifa.

Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • Tangazo la ukataji au kuhuisha leseni na Tozo mbalimbali. December 08, 2017
  • Uchangiaji Damu Hospitali ya Sinza June 14, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TUFANYE KAZI IPASAVYO TUHAKIKISHE TUNAZINGATIA MISINGI SAHIHI YA KAZI

    December 04, 2019
  • UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA UBUNGO ILIYOPO KIMARA BARUTI.

    December 02, 2019
  • WENYEVITI WAPYA WA SERIKALI ZA MITAA MANISPAA YA UBUNGO WAAPISHWA

    November 29, 2019
  • MKURUGENZI WA MANISPAA YA UBUNGO APOKEA MBAO 800 KUTOKA BENKI YA NMB

    November 22, 2019
  • Tazama zote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa