• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Vipeperushi
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Nawezaje kuomba leseni za Biashara?

Mwombaji anapaswa kujaza fomu ya TFN 211 Kikamilifu fomu hiiinapatikana ofisi za Bishara  Manispaa ya Ubungo iliyopo kibamba CCM.

viambatanisho muhimu wakati wa ujazaji fomu ya maombi ni :

1.hotocopy ya certificate of incorparation au kama ni jina la biashara( attach photocopy ya certificate of incorpation in case of company or certificate of registration in case of business name and extract from the registral

2.Kama ni kampuni , memorundum and articles of association inayoonyesha madhumuni ya kuazishwa kwa kampuni kunakoendana na leseni inazoombwa

3.Uraia. kivuli cha kitambulisho cha mpiga kura ,kitambulisho cha utaifa, Hati ya kusafiria , lesni ya udereva  au hati ya kiapo kinachoonyesha kuwa wewe ni mtanzania au hati ya kuishi Tanzania daraja A kama wewe sio Mtanzania

4 Iwapo wanahisa wote wapo nje ya nchi itabidi maombi yaambatane na  hati ya kiuwakili ( Power of Antony)

5 Ushaidi wa kimaandishi kuwa ana mahali pa kufanyia biashara ( kivuli cha mkataba wa kupangisha , risiti ya malipo ya kodi za majengo au ardhi kwa wenye nyumba zao)

6 Hati ya kujiandikisha kama ni mlipa kodi.

7 Business Tax clearence

9 Kwa leseni zinazodhibitiwa na mamulaka mbalimbali kama vile (TFDA,EWURA,SRB,ERB,TCRA, TARI NK) ni lazima muusika kuwa na kuwa na leseni husika kabla ya kuomba kuomba leseni za biashara

10 Hati ya Kitaalamu( professional certificate ) kwa biashara zote za kitaalamu mfano leseni za udakitari , leseni za kuanzisha Hospitali , ujenzi ,uhandisi, urubani wa ndege captain na Meli.


NB Leseni za biashara hulipwa mara moja kwa mwaka tangu tarehe ilipoanza kutumika hadi tarehe mwaka unapokamilika 

Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • Tangazo la ukataji au kuhuisha leseni na Tozo mbalimbali. December 08, 2017
  • Uchangiaji Damu Hospitali ya Sinza June 14, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UJENZI WA MADARASA 8, MADAWATI 300 KUPUNGUZA KERO YA WANAFUNZI KUKAA CHINI KING'ONGO

    January 18, 2021
  • VIKUNDI 22 VYA WAJASIRIAMALI VYAPEWA UTARATIBU UNUNUZI WA PIKIPIKI NA BAJAJI

    January 14, 2021
  • MKURUGENZI WA IDARA YA AFYA TAMISEMI AIPONGEZA MANISPAA YA UBUNGO

    January 09, 2021
  • VIONGOZI WA MITAA WATAKIWA KUHAKIKI KAYA HEWA ZA TASAF

    January 08, 2021
  • Tazama zote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa