• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Vipeperushi
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WATENDAJI WA KATA, MITAA UBUNGO KUWASILISHA TAKWIMU ZA MAJENGO NA MABANGO MWISHONI MWA MWEZI FEBRUARI.

Posted on: February 10th, 2021

Watendaji wa kata na Mitaa Manispaa ya Ubungo jijini Dar Es salaam waagizwa kutambua na kuwasilisha halmashauri takwimu za majengo na mabango yaliyopo kwenye mitaa yao ifikapo tarehe 28 februari mwaka huu kwa ajili ya kuanza zoezi la kukusanya kodi.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kisare Makori jana februari 9, 2021 kwenye kikao kazi kilichofanyika ukumbi wa little flower eneo la mbezi kwa viongozi na watendaji hao kuanza zoezi hilo mapema iwezejanavyo ili Kodi hizo ziweze kukusanywa kama Serikali ilivyoelekeza.

Nimeona tukutane tupeane maelekezo na muda wa kutekeleza agizo hili kwa kuanza kutambua nyumba na mabango yaliyopo kwenye mitaa yenu kwa haraka na uaminifu mkubwa na atakayekwamisha atachukuliwa hatua" alieleza Kisare

Kisare amesema kuwa baada ya kupata takwimu hizo, Manispaa itaanza kampeni ya kukusanya Kodi hizo tarehe 22 Machi, 2021. “Tambueni kuwa serikali inajiendesha kupitia kodi  kwa kiasi kikubwa hasa baada ya kuingia uchumi wa kati, hivyo ni lazima zoezi hili lifanyike kwa umakini za uaminifu mkubwa ili serikali ipate mapato”

Makori amewasisitiza watendaji hao kuwa zoezi hilo linahitaji umakini mkubwa Sana asionewe wala kupendelea mtu, “sitegemei kupata malalamiko kwa wananchi , zingatieni muongozo mtakaopewa na viongozi wenu"

Akiongea kwa niaba ya watendaji wengine , Mtendaji wa Kata ya Goba Musilima Mwenda alisema wamepokea agizo na watatekeleza kwa wakati hadi kufikia tarehe 28 mwezi huu takwimu zote zitakuwa zimekusanywa na kuwasilishwa kwa ajili ya kuanza zoezi la kukusanya kodi hizo tarehe 22 Machi kama ilivyoelekezwa.

Zoezi hili linalenga kuongeza wigo wa kukusanya mapato kutokana na uwanda wa serikali za mitaa kuwa mpana zaidi na kuyafikia majengo yaliyokusudiwa.

Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa ilitoa muongozo Mpya wa juu ya ukusanyaji wa Kodi za majengo na mabango kutekelezwa na Halmashauri nchini februari Mosi, 2021.

Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • Tangazo la ukataji au kuhuisha leseni na Tozo mbalimbali. December 08, 2017
  • Uchangiaji Damu Hospitali ya Sinza June 14, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KITUO KIPYA CHA MABASI MBEZI LUIS KUANZA KUTOA HUDUMA TAREHE 25 FEBRUARI, 2021

    February 21, 2021
  • WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA KWA UFANISI KUZALISHA WASOMI BORA

    February 16, 2021
  • BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA UBUNGO LAZINDULIWA RASMI

    February 15, 2021
  • ENG NYAMHANGA APONGEZA UJENZI WA MADARASA 9 KING'ONGO, AAHIDI FEDHA ZA UJENZI WA MADARASA MENGINE 6-8

    February 12, 2021
  • Tazama zote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa