• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Historia

Manispaa ya Ubungo

Utangulizi

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ni moja kati ya Halmshauri za Manispaa tano zilizoko katika jiji la Dar es salaam nchini Tanzania. Mtazamo wa Halmashauri ni kuwa na jamii ambayo imewezeshwa kuendana na maendeleo ya kijamii, kiuchumi na Miundo mbinu. Malengo ya jumla ni kutoa huduma bora kwa jamii  kwa kutumia rasilimali zilizoko kwa ufanisi, na kuwajengea uwezo , utawala bora na kuheshimu utawala wa sharia ambao utaboresha maisha ya jamii, Halmashauri inajipambanua kupitia uwajibikaji na utoaji huduma kwa watu.  

Vyanzo vya Mapato vya Halmashauri  hutegemea sana ushuru na kodi mbalimbli, vyanzo vikubwa vya mapato ni pamoja na kodi za Mabango, ushuru wa huduma za jiji, leseni za Biashara na kwa upande wa serikali kuu ni kupitia ruzuku inayotolewa katika maeneo maalumu kama Afya, Elimu, na Miundombinu. Vyanzo vya mapato havitoshelezi kukidhi mahitaji ya Manispaa ya kutoa huduma nzuri na bora, Halmashauri  ya Manispaa imeweka nguvu kutoa huduma bora kwa umma na kutafuta fursa za uwekezaji.

Mahali inapopatikana

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo imepakana na Halmashauri ya wilaya ya Kibaha kwa upande wa kaskazini, Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kusini mashariki na Halmashuri ya wilaya ya Kisarawe upande wa magharibi. Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo imeunganishwa na Barabara nzuri na njia zingine za mawasiliano katika Jiji la Dar es Salaam na sehemu zingine za nchi . Barabara kuu zinazounganisha Halmashauri ni Barabara ya Morogoro, Barabara ya Mandela, na Barabara ya Sam Njoma.

Eneo/Idadi ya watu

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ina kilometa za eneo 260.40, kutokana na Sensa ya watu mwaka 2012 Manispaa ina jumla ya watu 845,368 ambapo wanaume ni 409,149 na wanawake 436,219 lakini kwa makadirio ya idadi ya watu ya mwaka 2016 Halmashauri ya Manispaa ina jumla ya watu 1,031,349 ambapo wanaume ni 499,161 na wanawake 532,188.  

Hali ya Hewa

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ina hali ya hewa ya kiikweta ambayo kiujumla  hali ya hewa ni ya joto na baridi kwa mwaka mzima, msimu wa joto zaidi ni mwezi wa kumi na mwezi wa tatu  lakini mwezi wa tano na wanane ni baridi.  Pia kuna misimu miwili ya mvua  ambayo ni msimu mrefu na msifu mfupi, msimu mfupi ni kuanzia mwezi wa kumi na kumi mbili, msimu mrefu ni kati ya mwezi wa tatu na watano.

Utawala

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ina Tarafa mbili (2)  Kibamba na  Magomeni ambapo kuna kata kumi na nne (14) na mitaa tisini na moja (91) pia Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ina majimbo mawili ya Uchaguzi, Halmshauri kimuundo inaongozwa na baraza la madiwani  (Full Council)  ambalo lina madiwani kumi na nne (14) wa kuchaguliwa na wabunge wawili (2) wa kuchaguliwa katika Majimbo.

Wakuu wa Wilaya waliopita

s/n Jina kamili Mwaka alioanza HADI
1 Humphrey Polepole 2016 2016
2 Kisare Matiku Makori

2016 2021

3 Kheri Denice James 2021 2023
4 Hashim Abdallah Komba 2023 Hadi sasa








Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa