• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ARDA YAWAKUMBUKA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI UBUNGO

Posted on: February 9th, 2022


Shirika la msaada la adventista wasabato (ADRA- Adventist Developments Relief Agency) kwa kushirikiana na Manispaa ya Ubungo wameandaa mafunzo ya mradi wa lishe na ugawaji wa vifaa vya kilimo kwa watu wenye ulemavu wa ngozi lengo ikiwa ni kuwawezesha kupata lishe bora na  kuwawezasha kiuchumi.


Msimamizi wa shirika la ARDA Tanzania Dina Bina ameeleza shirika limepanga kusaidia jamii kutokana na changamoto ya COVID 19 kwa kutoa elimu ya ulimaji wa mbogamboga kwa kundi la watu wenye ulemavu ili kusaidia kupata lishe bora.


Bina ameeleza sambamba na mafunzo hayo ARDA itatoa vifaa vya ulimaji wa mboga mboga hizo ambavyo ni mifuko 20 ya kupandia kwa kila mtu, tray za vitalu, vijembe, garden tools, gloves na mbegu za kuanzia. Ili kusaidia kundi hili la watu wenye ulemavu wa ngozi kuepukana na utegemezi.


Afisa Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Ubungo Albina Mtumbuka ameeleza kuwa watu hao wanaweza kuwa na vikundi vya ujasiriamali na kufanya miradi mbalimbali ambayo itawasaidia katika kupata mikopo isiyo na riba ya kukuza biashara zao. Kwani Manispaa imekuwa ikitoa mikopo hiyo kwa makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupitia mapato yake ya ndani.


Naye Mhandisi wa Kilimo Mkoa wa Dar es salaam Rajab Omary amewapongeza ARDA kwa juhudi zao za kuisaidia serikali kwa kutoa misaada kwa jamii na amewaasa wanufaika hao kwenda kuyafanyia kazi mafunzo waliyoyapata, na kuunda vikundi mbalimbali vya ujasiriamali.


Omary ameeleza Manispaa zote zimetenga maeneo kwa ajili ya kutumika kama shamba darasa hivyo amewaasa kufanya juhudi katika kuhudumia bustani hizo za mbogamboga ili kupata fursa ya kuyatumia vizuri maeneo hayo kwa lengo la kuwawezesha kujikimu kimaisha na kiuchumi.


Nae Mwenyekiti wa watu wenye ulemavu wa ngozi Ubungo amewapongeza ARDA kwa kuwakumbuka kwa kuwapatia mafunzo na vifaa vya upandaji wa mboga mboga kwani utaenda kuimarisha afya zao na kukuza uchumi wao na ameishukuru Manispaa kwa kutenga maeneo ya shamba darasa.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa