• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

"BAMBOO DAY" UBUNGO KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA MAGODA BAMBOO YAADHIMISHA SIKU YA UPANDAJI NYASI ZA MIANZI DUNIANI

Posted on: September 18th, 2025

Bamboo day ni siku ya nyasi za mianzi duniani ambapo leo Manispaa ya Ubungo kwa kushirikiana na Kampuni ya Magoda Bamboo Limited ambayo inajihusisha na uzalishaji wa nyasi za mianzi na bidhaa zinazotoka na mianzi ikiwemo fenicha  kwa Tanzania, wamefika katika mto Mpiji uliopo kata ya Mbezi  kwa ajili ya kuendesha zoezi zima la upandaji wa nyasi  hizo katika kingo za mto huo na jumla ya  miche ya nyasi 500 imepandwa.

Akizungumza katika zoezi hilo Leo tarehe 18 septemba, 2025 kaimu Mkuu wa kitengo Cha Maliasili na mazingira Nice Vahaye ambaye pia amemuwakilisha Mkurugenzi wa Manispaa hiyo amesema kuwa zoezi hilo la upandaji wa nyasi  za mianzi katika kingo za mto Mpiji utasaidia wakazi wa eneo hilo kwa kiasi kikubwa kwani nyasi hizo zinaenda kusaidia kuzuia madhara makubwa yatakayotokana na mto huo kuendelea kupanuka.

Vahaye ameendelea kueleza kuwa "Bamboo" ni nyasi za mianzi na Manispaa ya Ubungo inaendelea kushuruku kwa ujio wa kampuni hiyo ya Magoda bamboo company limited kwani lengo la ujio wao kwa Ubungo unaenda kuleta manufaa makubwa.

Magoda Bamboo wameleta nyasi hizo ikiwa ni moja wapo  ya zoezi la kuhakikisha maeneo yote ambayo yameathiriwa na mito hayaendelei kutanuka. ameeleza Vahaye

Yohana Abdallah mzalishaji wa miti ya mianzi kutoka Magoda Bamboo amesema kuwa dhumuni la kuleta mito hiyo ni kwa sababu uwezo wa miti hiyo kuota bila shida haichagui maeneo hata maeneo ya ukame na joto hivyo kwa kipindi cha sasa na mvua zinazoendelea itaweza kuishi na kukua zaidi

Nae, Roberto Mhando afisa uhusiano kutoka Magoda Bamboo amezungumzia kuhusiana na kampuni hiyo ambayo inajihusisha na uzalisha wa miti ya mianzi na bidhaa zinazotokana na miti ya mianzi ikiwemo fenicha na kuwakaribisha wanaubungo na wananchi kwa ujumla kufika katika kampuni hiyo kujionea na kupata elimu

Nao wakazi wa eneo hilo, wameishuru Manispaa kwa kushirikiana na bamboo kwa ujio wao kwani unaenda kuleta manufaa makubwa kwa wakazi wa eneo hilo na kusaidia kupunguza athari ambazo mto huo ungeenda kuleta kwa baadae kama ungeendelea kutanuka.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YAADHIMISHA SIKU YA UONI DUNIANI KWA UPIMAJI BURE WA MACHO ZAHANATI YA GOBA

    October 15, 2025
  • DC MSANDO ATEMBELEA MRADI WA MAJI KING'ONG'O, AONGEZA MUDA KWA DAWASA KUKAMILISHA KWA UBORA

    October 13, 2025
  • DC MSANDO AWATAKA WENYEVITI KUWASILISHA TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI

    October 04, 2025
  • SERIKALI KUJA NA MPANGO WA DHARURA NA HARAKA KUTATUA CHANGAMOTO YA USAFIRI WA MWENDOKASI

    October 01, 2025
  • Tazama zote

Video

UBUNGO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA | WANAFUNZI WAASWA KUJITUNZA
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa