• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

BARAZA LA MADIWANI UBUNGO LAPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KIASI CHA SHILINGI 143,142,599,995.00 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Posted on: February 21st, 2025

Baraza la madiwani Manispaa ya Ubungo laidhinisha mapendekezo ya rasimu ya  mpango wa  bajeti yenye makisio ya bajeti ya  mapato ya ndani, ruzuku ya matumizi ya kawaida na miradi ya maendeleo  jumla ya  shilingi 143,142,599,995.00  kwa ajili ya Matumizi ya kawaida na miradi ya maendeleo kwa mwaka wa Fedha 2025/2026.

Akisoma taarifa  ya rasimu ya bajeti hiyo Mkuu wa Idara ya mipango na uratibu Ndg. Andambike Kyomo tarehe 21 februari, 2025 amesema kuwa bajeti hiyo imelenga katika vipaumbele vitano navyo ni uendelezaji wa miundombinu, kuimarisha utawala bora, usimamizi wa mazingira na mabadiliko ya tabia Nchi, kukuza usawa wa kijinsia na uwezeshaji kiuchumi kwa makundi maalumu na wananchi.


Na katika kipaumbele cha  kuongeza mapato, Manispaa  imepanga kubuni, kusimamia, na kuimarisha ukusanyaji wa vyanzo vya mapato ya ndani. Aliongeza Kyomo

Aidha, Madiwani katika Baraza hilo wamepongeza maandalizi  ya bajeti hiyo ambayo inaenda kutekeleza miradi yote yenye tija na manufaa kwa wananchi wa Ubungo na kuagiza utekelezaji wa Matumizi ya fedha za  bajeti hiyo zikazingatiwe kikamilifu ili ziweze kuleta maendeleo  na manufaa makubwa kwa wananchi wa Ubungo

Nae Mstashiki Meya Manispaa ya Ubungo, Mhe Jaffary Nyaigesha amewataka wataalam kuendelea kukusanya mapato zaidi na zaidi na kusimamia vyema vyanzo vya mapato ikiwa ni njia moja wapo itakayosaidia Ubungo kuendelea kuwa vizuri katika kuleta maendeleo kutokana na makusanyo na vilevile kila mwaka bajeti kuweza kupanda.

Pia Mhe.Nyaigesha amewapongeza wataalam wa Manispaa hiyo kwa kuzingatia usimamizi mzuri wa mapato na utekelezaji wa miradi na pia amempongeza Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Mhe. Aron Kagurumjuli kwa juhudi anazozionesha za kuleta  maendeleo kwa Manispaa ya Ubungo

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa