• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

BARAZA LA MWISHO LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE MANISPAA YA UBUNGO KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020

Posted on: June 9th, 2020

Baraza hilo limefanyika  katika ukumbi wa Little Flower uliopo Mbezi na kuongozwa na Kaimu Mstahiki Meya Ramadhan Kwangaya na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic

Baraza hilo limehudhuriwa pia na Mwenyekiti wa Chama  cha CCM Wilaya ya Ubungo Ndg. Lucas Mgonja ,Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe.Kisare Makori, Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg.James Mkumbo,Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Madiwani,na Watalaam kutoka Manispaa ya Ubungo.

Lengo la Baraza hilo ni kupitia taarifa za utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa kamati zote robo ya nne kuanzia April hadi Mei.

Sambamba na hilo Katibu alipata nafasi ya kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kuanzia Julai 2016 hadi Mei 2020.

Aidha Shughuli za kamati kwa kamati zote zilizoundwa kwa kipindi chote ulienda vizuri kutoka kuanzishwa kwa kamati zote mpaka siku ya leo ambayo Baraza hilo la mwisho limenyika.

Vile vile Madiwani walishukuru kwa ushirikiano ambao ulitolewa na wataalam kutoka Halmashauri kwa kuleta mabadiliko kwa Manispaa ya Ubungo.

Sambamba na hilo Mkuu wa Wilaya aliwashukuru madiwani wote kwa kipindi chote walichokuwepo katika utekelezaji wa majukumu yao, nakuwataka wale wote watakaoshiriki uchaguzi wafanye kwa amani na kuzingatia uaminifu,uadlifu na kufanya kazi kwa uweledi.

”Nitoe shukrani pia kwa mweshimiwa Rais wa awamu ya tano Dk.John Pombe Magufuli kwa maendeleo anayoyaleta katika nchi yetu". Aliongezea Mkuu wa Wilaya

Mwisho Kaimu Mstahiki Meya alimshukuru Mkurugenzi pamoja na  wataalam wote wa Manispaa kwa kushirikiana na kujitoa kwenye suala la kuleta maendeleo ya Halmashauri ya Ubungo na juhudi zikaendelee kuiendeleza Manispaa Ubungo.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa