• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

BARAZA LA WATUMISHI UBUNGO LAPITISHA BAJETI 2024/2025

Posted on: February 10th, 2024

Baraza maalumu la wafanyakazi Manispaa ya Ubungo likiongozwa na Mwenyekiti wa baraza hilo leo tarehe 10/02/2024 limepitisha makisio ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2024/2025 baada ya kujilidhisha kuwa stahiki mbalimbali za watumishi ndani ya Manispaa hiyo zimezingatiwa katika bajeti hiyo.

Akiwasilisha taarifa ya makisio ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Ndg. Andambike Kyomo Mkuu wa Idara ya Mipango na Uratibu ameeleza kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo inatarajia kukusanya/kupokea fedha kiasi cha shilingi 122.709,193,316.00 Kati ya fedha hizo shilingi 91,123,062,838.00 ni Ruzuku kutoka Serikali Kuu, shilingi 31,086,130,478.00 ni fedha za makusanyo ya ndani ya Halmashauri, na Shilingi 500,000,000.00 ni michango ya Wananchi.


Kyomo ameendelea kueleza kuwa Fedha za Ruzuku kutoka Serikali Kuu Shilingi 91,123,062,838.00 zinajumuisha kiasi cha shilingi 74,207,667,838.00 ikiwa ni Mishahara, kiasi cha shilingi 1,349,442,000.00 kwa ajili ya matumizi mengineyo na shilingi 15,565,953,000.00 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo toka Serikali Kuu.

Huku shilingi 31,086,130,478.00 ambazo ni fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri zinajumuisha kiasi cha Shilingi 17,352,877,778.00 kuwa ni fedha za matumizi mengineyo na shilingi 13,733,252,700.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo huku shilingi 500,000,000.00 zikiwa ni nguvu za wananchi.

Sambamba na hayo Kyomo ameeleza kuwa katika bajeti hiyo Manispaa ya Ubungo imependekeza maeneo ya kipaumbele matano yatakayozingatiwa ikiwemo Kuboresha makusanyo ya mapato ya ndani, Kuboresha huduma za kijamii katika sekta ya Afya na Elimu, Kuboresha miundombinu ya barabara, Kuimarisha utawala bora na Kuimarisha usimamizi, ufuatiliaji na utoaji taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Baraza hilo ambae pia ni Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg Elias Runeye Ntiruhungwa amesema makisio ya bajeti hiyo yamezingatia stahiki zote za watumishi ili kuweza kuwaongezea ari katika utekelezaji wa majukumu yao na hivyo kuweza kutoa huduma stahiki kwa wananchi.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa