• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

BODI YA AFYA MANISPAA YA UBUNGO YAPONGEZA UTOAJI MZURI WA HUDUMA ZA AFYA KATIKA VITUO

Posted on: October 26th, 2023

Bodi ya Afya manispaa ya Ubungo imepongeza utoaji mzuri wa huduma za afya  katika vituo kupitia waganga wafawidhi wanaosimamia vituo hivyo kwa kuwa na ufanisi mzuri na kusimamia utekelezaji wa miradi kwa weledi

Pongezi hizo zimetolewa na Mjumbe wa bodi hiyo Ndg. Francis Kyando alipozungumzia kuhusiana na  ziara iliyofanywa na wajumbe wa bodi hiyo kutembelea katika vituo vya Afya  na kufanikiwa kupata  taarifa zilizokamilika na kufurahishwa na taarifa za ujenzi wa kituo cha afya kimara ambapo kituo hicho pia kilipongezwa kwa  utoaji  mzuri wa huduma kwa wananchi 

Kikao hicho cha Bodi ya Afya kwa robo ya kwanza Julai-Septemba 2023/2024 kimefanyika leo tarehe 26 oktoba,2023 ambapo wajumbe walipokea taarifa ya utekelezaji wa Idara ya Afya ,lishe na ustawi wa jamii.

Akisoma taarifa ya utekelezaji kwa Idara hiyo Dkt.Catherine  Saguti alisema kuwa kwa kipindi cha robo ya kwanza Idara ya Afya  ilifanikiwa kutoa  chanjo  katika vituo vyote 60 vinavyotoa huduma ya chanjo na pia ilifanikiwa Kuibua wagonjwa wa vifua vikuu ambapo jumla ya wagonjwa 170,322 waliofika katika vituo vya kutolea huduma ya afya walipatiwa elimu kuhusu kifua kikuu na ukoma 

Aliendelea kusema kuwa,  Idara imefanikiwa kupunguza vifo vya wazazi na watoto wachanga ambapo mafunzo elekezi ya huduma ya dharula ya uzazi yalifanyika kwa wataalam wabobezi katika zahanati 9 

Na kupitia Ofisi ya Ustawi wa jamii walihakikisha wazee wanatambuliwa toka kata zote 14 na wanapatiwa  vitambulisho vya msamaha wa matibabu ambapo jumla ya wazee 38 wanawake 16 na wanaume 22 walitambuliwa na kufanikiwa kushughulikia  mashauri 157 ya ndoa

Katika swala la lishe huduma za lishe mtambuka zilifanyika ikiwemo kutoa elimu ya ulishaji wa chakula mchanganyiko kwa  wazee/wazazi wenye watoto wa umri wa miezi 0-23 katika jamii kupambana na udumavu, matibabu ya utapia mlo  kwa watoto chini ya miaka mitano ambapo jumla ya watoto 14  waligundulika na utapia mlo nakupewa matibabu ya awali

Na katika Afya na Mazingira pia Idara ilifanikiwa kudhibiti usalama wa ubora wa chakula,vinywaji na malazi kwenye jamii.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa