- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Leo tarehe 24/06/2022 Bodi ya Afya Manispaa ya Ubungo imefanya kikao cha robo ya tatu kwa ajili ya kupitia taarifa ya utekelezaji Idara ya Afya na mapato na matumizi kwa kipindi cha januari hadi machi 2021/2022.
Aidha ameipongeza Manispaa hiyoh kwa kupata hati safi mfululizo na hii nikutokana na udhibiti wa mapato na matumizi kama ambavyo wamejionea kwenye taarifa ya mapato na matumizi ya vituo vyake vya kutolea huduma za afya.


