• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

CHANGIA ADA YA TAKA KUIMARISHA USAFI WA MTAA WAKO

Posted on: May 28th, 2022

Katika kuendeleza kampeni ya Safisha, Pendezesha Dar Es Salaam Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Bi. Beatrice Dominic amewataka wananchi kuendelea kulipa ada za taka kulingana na taratibu zilizowekwa kwenye mitaa yao kama ambavyo sheria inawataka ili kuwezesha taka kuzolewa kwenye maeneo yao.

Hayo ameyasema leo tarehe 28/05/2022 wakati wa usafi wa mwisho wa mwezi uliofanyika kata ya Mabibo barabara ya NIT ulioenda sambamba na upandaji wa miti. Viongozi mbalimbali wa chama, viongozi wa chuo cha NIT, kikundi cha scout, Miss Utalii Dar es Salaam Angela Geradi Steven, pamoja na wananchi.

Mstahiki Meya wa Manspaa ya Ubungo Mhe. Jaffary Juma  Nyaigesha akipanda mti kwenye zoezi la usafi wa mwisho wa mwezi uliofanyika Mtaa wa Mabibo leo mei 28,2022

Aidha, Beatrice amewapongeza wananchi kwa kushiriki kikamirifu kufanya usafi, na amewaomba kuwa na utamaduni wa kufanya usafi kwenye maeneo ya biashara na majumbani na kuendelea kulipa ada za usafi na kuacha kuwapa wenye matoroli kwani hawatupi dampo na wanaendelea kuchafua mazingira yetu.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Jaffary Nyaigesha amewapongeza wananchi kwa kujitokeza kushiriki usafi huo na amewataka kuendeleza utamaduni huo kila siku majumbani mwao na kuacha tabia yakuweka uchafu kwenye mitaro ya maji machafu ili kuendelea kutunza miundombinu hiyo na kufanya mazingira kuwa safi.

Nae Mhe. Joseph Thomas Kleruu Diwani kata ya Mabibo amewasisitiza wananchi kuendelea kusafisha maeneo kila siku na sio kusubiri usafi wa jumamosi na matarajio yake ni kuona kata yake inapata nishani ya usafi.

Wananchi  wa kata ya mabibo manispaa ya ubungo wakishiriki zoezi la usafi linafanyika kila jumamosi ya mwisho wa mwezi Mei, 2022

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa