• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

CHANJO YA SURUA KUANZA KUTOLEWA FEBRUARI 01-5-2023

Posted on: January 27th, 2023

Katika kulinda Afya za wananchi hasa watoto chini ya umri wa mika mitano, miaka miwili na wasichana wizara ya afya kwa kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo imekuwa ikitoa chanjo mbalimbali kwa makundi hayo ili kuimarisha afya zao na kuwakinga na magonjwa mbalimbali

Hayo yamesemwa leo Januari 27, 2023 na Mganga mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo katika zoezi la utoaji wa mafunzo kwa watoa huduma kutoka vituo mbalimbali vya afya kuhusu mpango maalumu wa kuimarisha chanjo ya surua kwa watoto chini ya umri wa miaka miwili ambao wamezaliwa kati ya Februari 2020 hadi Aprili 2022. Mafunzo hayo yametolewa na waratibu wa chanjo kutoka TAMISEMI kwa kushirikiana na maafisa wa idara ya Afya Manispaa ya Ubungo katika ukumbi wa Ngome uliopo Sinza Afrikasana

Chanjo hiyo ya surua inatarajiwa kutolewa kwa muda wa siku tano kutoka Februari 01 - 05, 2023 kwa watoto wote ambao hawajapata chanjo ya Surua au hawajakamilisha ratiba ya dozi mbili ya chanjo.Mganga mkuu wa Manispaa ya Ubungo Dokta Peter Nsanya amesema "Uimarishaji wa chanjo ya Surua kwa watoto chini ya miaka miwili ni muhimu sana kwaajili ya kuzuia magonjwa ya mlipuko kwa watoto kama ugonjwa wa Surua" amesema

Chanjo hii kwa Manispaa ya Ubungo inatarajiwa kuwafikia watoto 12,379 na itatolewa katika vituo vyote vya afya vinavyotoa huduma ya chanjo ambapo timu za wahamasishaji watakua wanapita kwenye mitaa yote kuwaelekeza wazazi/walezi wenye watoto chini ya miaka miwili kwenda kwenye vituo hivyo kwaajili ya kuwapatia watoto wao chanjo hiyo

Nae ndugu Given Mlay mratibu wa chanjo kutoka TAMISEMI amewasisitiza watoa huduma ambao wamepatiwa mafunzo hayo kwenda kuifanya kazi hii kwa uadilifu mkubwa ili kuhakikisha malengo ya kutoa chanjo hii yanafikiwa kwa kiwango kikubwa kwa maeneo yote ya Manispaa ya Ubungo

watoa huduma za afya wakipewa mafunzo kuhusu utoaji wa chanjoc

Aidha kwa wazazi/walezi wote wametakiwa kutoa ushirikiano kwenye kufanikisha zoezi hili kwa kuwapeleka watoto wao kwenda kupatiwa chanjo hiyo kwani mtoto ambaye hatopata chanjo hiyo ni hatari kwa afya yake na jamii inayomzunguka. KINGA NI BORA KULIKO TIBA

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa