• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC BOMBOKO AANZA ZIARA KWENYE MASOKO

Posted on: August 15th, 2024

Manispaa ya Ubungo Ina jumla ya masoko 13 Ambayo yanachangia Moja kwa moja kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri ambayo yanapelekea ugatuaji makubwa wa huduma za jamii kwa wananchi

Kwa kutambua Hilo, Agosti 15, 2024 mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe. Hassan Bomboko ameanza ziara maalumu ya kutembelea masoko yote ya Manispaa ya Ubungo kufuatilia kero mbalimbali za miundombinu ya masoko hayo na ufanyaji kazi wa wafanyabiashara

DC Bomboko ameanza ziara yake kwa kutembelea soko la Shekilango ambalo ni soko maarufu kwa uuzaji wa kitoeo cha kuku ambapo kwa ujumla Lina jumla ya wafanyabiashara zaidi ya 1000 na kwa mwezi linakusanya ushuru wa shilingi milioni nne ambapo ni chini na makadirio ya kukusanya milioni 12 kwa mwezi

Awali akitoka taarifa ya soko Hilo mkuu wa idara ya viwanda na biashara Manispaa ya Ubungo Mary Mwakyosi ameeleza kuwa soko Hilo kwasasa lipo kwenye mpango wa ukarabati mkubwa utakaogharimu shilingi Bilioni Tano kutoka benki ya maendeleo ya Afrika

Aidha DC Bomboko ametembelea soko la big brother ambapo amepongeza ukusanyaji mzuri wa mapato katika soko Hilo na tayari ametoa maelekezo ya kufanyika tathmini ya kina ya maeneo yote ya ukarabati unaohitajika katika soko Hilo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa choo kipya pamoja na shedi la kisasa

Nae mstahiki meya wa Manispaa ya Ubungo na diwani wa kata ya Ubungo Mhe. Jaffery Nyaigesha amewapongeza wafanyabiashara wa masoko hayo kwa kuendelea kuchapa kazi na kuchangia maendeleo ya Halmashauri Yao, na ameahidi kuwa Serikali kwa ujumla iko pamoja nao

Ziara hiyo ya ukaguzi wa masoko inaendelea Leo Agosti 16 kwenye masoko mengine ya Manispaa ya Ubungo





Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa