• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC BOMBOKO ATOA SIKU 7 MITAA YOTE 90 KUWA SAFI

Posted on: September 30th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Ubungo Mh. Hassan Bomboko ametoa siku saba kwa Viongozi na Idara ya Mazingira wilaya ya Ubungo kuhakikisha mitaa yote 90 inakuwa safi huku akiagiza kuwepo kwa uratibu mzuri wa ukusanyaji taka.

Mh. Bomboko ametoa maagizo hayo Septemba 30, 2024 wakati wa kikao chake cha kusikiliza na kutatua kero za wananchi kilichohusisha Mabalozi na Wenyeviti wa mitaa kata ya Kimara, Wenyeviti na Makatibu wa CCM kata ya Kimara, pamoja na wakuu wa Idara na vitengo wilaya ya Ubungo.

Bomboko amelazimika kutoa maagizo hayo baada ya kuibuka kwa kero kubwa ya utupaji taka hovyo, kutozolewa kwa wakati na uchomaji taka unaosababisha moshi mwingi na kuleta kero kwa wananchi.

Amesema utatuzi wa kero hizo kwa wananchi ndiyo ushindi wa CCM katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuwa serikali imejidhatiti kuondoa kero na changamoto zote.

Pamoja na mambo mengine, amewaagiza Watu wa mipango miji kuhakikisha zoezi la Urasimishaji maeneo linafanyika kikamilifu baada ya kuibuka kero ya Mipango miji na uvamizi wa maeneo.

Awali Diwani wa kata ya Kimara ndg. Ismail Mvungi, amesema serikali imetenga jumla ya shilingi Bilioni 18 kwaajili ya kujenga barabara zote za Kimara zikiwemo Barabara za Kimara- Bonyokwa, Kimara Baruti, Barabara ya Kilungule, na barabara ya Golani primary.


Amesema kupitia fedha za ndani, Kata ya Kimara imepokea Milioni 60 kwaajili ya ujenzi wa barabara za Kimara - Baruti Cam college, Tembo, Kilungule, Java na Mbuyuni.


Pamoja na mipango yote hiyo ya ujenzi wa  Barabara, DC Bomboko ameagiza kutengenezwa mpango maalumu wa kupunguza athari za ubovu wa barabara katika kata ya Kimara.

Katika hatua nyingine, Mabalozi na wenyeviti wa mitaa waliibua hoja ya changamoto ya upatikanaji wa maji kwa zaidi ya miezi mitatu katika mitaa ya Golani, CCM Kimara Baruti, Mtaa wa kipemba, na Ngoi, ambapo DC Bomboko ameagiza DAWASA kufika na kukagua maeneo yote ambayo maji hayatoki, na kuhakikisha mitaa hiyo inapata maji haraka 

Sambamba na hilo, amemuelekeza Katibu tawala wa wilaya ya Ubungo kuziandikia barua mamlaka zote za maji kutoa taarifa kila siku kuhusu hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya mitaa





Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa