• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC KHERI ATOA SIKU SABA ZA ANWANI ZA MAKAZI MBURAHATI

Posted on: June 16th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mhe. Kheri James ametoa siku saba kwa wazabuni wa uwekaji wa vibao vya anwani za makazi pamoja na watendaji wa kata na mitaa ndani ya wilaya ya Ubungo, kuhakikisha wanakamilisha zoezi hilo.

Mhe. James ametoa agizo hilo leo Juni 16, 2022 wakati akiendelea na ziara yake ambapo leo ilikua ni zamu ya kata ya Goba na Mburahati kwenye ukaguzi wa zoezi la anwani za makazi na kuhamasisha ushiriki wa zoezi la Sensa kwa wananchi na wakazi wa Kisiwani, Mburahati kufuatia kata hiyo kuwa ni miongozi mwa kata ambayo haikufanya vizuri katika zoezi la anwani za makazi huku kwa wilaya nzima ya Ubungo, zoezi likiwa limefikia asilimia 57 ambapo tayari nyumba zote zina namba na zoezi linaloendelea ni la kuweka vibao vya namba kwa nyumba zote zilizosalia.

Kwa upande wake Diwani kata ya Mburahati, Mhe. Yusuph Omari Yenga amesema watahakikisha zoezi hilo linaendelea vizuri katika kata hiyo huku akiahidi kutekeleza maagizo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya kwamba ndani ya siku saba zoezi hilo liwe limekamilika.

#kaziiendelee #UbungoYetuFahariYetu


Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA April 26, 2021
  • TANGAZO KWA WAMACHINGA WOTE November 20, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA

    July 01, 2022
  • MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU UHAKIKI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI YATOLEWA RASMI

    June 30, 2022
  • WAKANDARASI WA VIBAO ANWANI MAKAZI UBUNGO WAPEWA SIKU SABA

    June 28, 2022
  • MRADI WA BILIONI 69 KUNUFAISHA WANANCHI 450,000

    June 24, 2022
  • Tazama zote

Video

TIZAMA AMBAVYO WATUMISHI WA MANISPAA YA UBUNGO WANAVYOFURAHIA UTUMISHI WA UMMA.
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa