• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC KOMBA AFANYA ZIARA KUONA BARABARA YA KWA ROBERT - KAVIMBIRWA, MBEZI LUIS

Posted on: February 18th, 2023

Mapema leo Februari 18, 2023 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba amefanya ziara katika eneo la Mbezi Luis kuona barabara yenye changamoto kubwa ya ubovu ambayo ina urefu wa kilomita tatu inayoanzia kwa Robert mpaka Kavimbirwa 

Ziara hiyo imefanyika kufuatia wananchi wanaoishi eneo hilo kuanza taratibu za kutatua changamoto hiyo kwa kufanya michango mbalimbali ya fedha na vifaa ili kurekebisha maeneo yote korofi ya barabara hiyo. 

Akiongea katika ziara hiyo katibu wa kamati ya wananchi ndugu Eddy Eneza amesema kuwa wao kama wananchi wa eneo hilo waliamua kuchangishana fedha ambapo Januari 29, 2023 wananchi hao walikaa kikao na kuidhinisha bajeti ya shilingi Milioni 11,675,000 kwaajili ya ukarabati wa maeneo korofi ambapo mpaka sasa wameshakusanya jumla ya kiasi cha shilingi Milioni 6,465,000 na ahadi za jumla ya shilingi Milioni 7,430,000. kwaajili ya kuanza rasmi hatua za ukarabati wa barabara hiyo. Leo pia kwenye ziara hiyo imepokelewa ahadi ya shilingi Milioni 2,000,000 kutoka kwa Mbunge wa Kibamba Mhe. Issa Mtemvu


Nae Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba wakati akizungumza na wananchi hao, amewapongeza kwa kushiriki kwenye mipango ya maendeleo na amewahakikishia kuwa mpango wao kurekebisha maeneo yote korofi ya barabara hiyo yanakamilika kwa asilimia mia moja bila kuwa na kikwazo chochote

"Miundombinu ya barabara katika taifa lolote ni sawasawa na mishipa ya damu kwenye mwili wa binadamu inavyofanya kazi, hivyo barabara ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi yoyote ile na sisi ubungo tutahakikisha miundombinu korofi yote ya barabara inatatuliwa" alisema Mhe. Komba 

Vilevile Mhe. Komba ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kutoa greda na compact (Shindilia) kwaajili ya kuchonga na kurekebisha barabara hiyo. Pia Mhe. Komba ameiagiza TARURA kutoa utaalamu wao kwenye ukarabati wa barabara hiyo ili itakapofika Mwisho wa mwaka huu wa fedha Juni 30, 2023 barabara hiyo iwe imekamilika tayari 

Nae mzee Bhalijuye fred ambaye ni mwananchi wa Mbezi Luis amemshukuru sana Mhe.Komba kwa kufika eneo hilo na wao wapo tayari kumpa ushirikiano kwenye shughuli mbalimbali













ReplyForward






Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa