• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC KOMBA AKUTANA NA VIONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VILIVYOPO WILAYA YA UBUNGO

Posted on: May 11th, 2023



Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mh. Hashim Komba leo Mei 11, 2023 amekutana na viongozi mbalimbali wa serikali za wanafunzi kutoka vyuo vyote vinavyopatikana ndani ya wilaya ya Ubungo


Vyuo hivyo ni pamoja na chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Chuo cha Maji, Chuo cha Usafirishaji (NIT) pamoja na chuo cha St. Joseph.

Lengo kuu la kukutana nao kwanza ilikua ni mkuu wa wilaya kujitambulisha kwao, lakini pia kuwakumbusha nafasi ya viongozi hao kwenye kushiriki kuendelea kuifanya wilaya ya Ubungo kuwa yenye amani na utulivu pamoja na kusisitiza suala zima la maadili vyuoni kote huko


Awali akiongea katika kikao hicho Mh. Komba amewapongeza viongozi hao kwa nafasi walizopata kutoka kwenye vyuo vyao kuwa viongozi hivyo wanatakiwa kuitumia nafasi hiyo vema kwa maslahi mapana ya wale wanaowaongoza ili watengeneze uongozi wenye kuacha alama.

Pia amewakumbusha umuhimu wa kuwa na malengo na kuwa tayari kulipa gharama zote za kuyafikia malengo hayo ikiwa ni pamoja na juhudi, uvumilivu na nidhamu.

"Katika Maisha kwanza unatakiwa uwe na dira, uwajibikaji, nidhamu pamoja na kumtanguliza Mungu. Hizo ndio silaha kubwa kwa yoyote yule kufikia malengo yake kwani kila kitu kinawezekana" alisema Komba


Vilevile Mh. Komba ametumia fursa hiyo kuwaasa viongozi hao umuhimu wa kuandaa makongamano ya maadili katika vyuo vyao ili kusaidia kuondoa changamoto zote za maadili zinazoibuka miongoni wa wanavyuo.


Nao viongozi wa vyuo hivyo walioalikwa wamemshukuru mkuu wa wilaya kwa fursa hiyo ya kukutana nao na wameahidi kwenda kutekeleza yote waliyoshauriwa ili kuleta matokeo chanya ya mazingira ya kujifunzia katika vyuo vyao na maisha kwa ujumla


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa