• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMPUNI YA YAPI MERKEZI YATOA MSAADA MILIONI 230 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA SHULE UBUNGO

Posted on: January 26th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo jijini Dar Es salaam Mhe Kisare Makori anatarajia kupokea msaada wa fedha shilingi milioni 230 kutoka kampuni ya Yapi Merkezi kwa ajili ya   kujenga miundombinu ya Shule za Msingi na Sekondari wilayani humo.


Kampuni ya Yapi Merkezi inayofanya kazi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR)   imetoa ahadi hiyo Leo januari 26, 2021 kwenye kikao kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo na kueleza kuwa msaada huo ni sehemu ya wajibu wa kampuni kusaidia jamii katika changamoto mbalimbali.


Akiongea baada ya kupokea ahadi hiyo, Mkuu wa Wilaya huyo, ameishukuru kampuni hiyo kwa msaada wao katika kuboresha miundombinu ya Shule hususani Madarasa na madawati ambayo kwa sasa uhitaji wake ni mkubwa.


"Kwa niaba ya Serikali na wananchi wa Wilaya ya Ubungo napenda kuishukuru kampuni ya Hapi Merkezi kwa msaada wao kwani utasaidia kupunguza changamoto ya upungufu wa madarasa, madawati na vyoo kwenye shule zetu" ameeleza Makori

Mkori ameendelea kueleza kuwa , msaada huo utaelekezwa  kwenye shule zenye changamoto kubwa zaidi  ya madarasa na madawati  ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Serikali la kuhakikisha wanafunzi wote hawakai chini wala kusomea nje.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa  ya Ubungo, Beatrice Dominic ameeleza kuwa ujenzi wa vyumba 37 kwa ajili ya kidato cha Kwanza  unaendelea na madawati 2000 yameagizwa na yameanza kupokekelewa na kusambazwa kwenye shule zenye upungufu. 


Aidha Beatrice amewaomba wadau wengine kuendelea kuchangia sekta ya elimu kwani uhitaji wa miundombinu ya Madarasa, madawati na vyoo kwa ajili ya kuboresha mazingira ya kujifunza na kujifunzia bado ni mkubwa sana.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic akitoa maelezo ya hali ya miundombinu kwa wawakilishi kutoka kampuni ya Yapi merkezi  wakati walipotembelea shule ya msindi Bwawani leo tarehe 26 januari, 2021


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa