• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC MSANDO ATEMBELEA MRADI WA MAJI KING'ONG'O, AONGEZA MUDA KWA DAWASA KUKAMILISHA KWA UBORA

Posted on: October 13th, 2025

Na Mwandishi Wetu, UbungoOktoba 13, 2025 – Dar es Salaam

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mheshimiwa Albert Msando, leo amefanya ziara ya ukaguzi katika eneo la Michungwani, Kata ya Saranga, kufuatilia utekelezaji wa mradi wa uboreshaji wa huduma ya maji unaogharimu Shilingi milioni 364, unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA).

Mradi huo unaolenga kuboresha upatikanaji wa maji safi kwa wakazi wa mitaa ya King’ong’o, Michungwani na Kimara B, unatarajiwa kunufaisha zaidi ya wananchi 92,000 katika umbali wa takriban kilomita 3.6.

Katika Mazungumzo yake baada ya kukagua uchimbaji wa mitaro kwaajili ya usambazaji wa mabomba, Mh. Msando amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hususan miradi ya maji inayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja.

Amesema uamuzi wa serikali umeonyesha dhamira ya kweli katika kutatua changamoto za msingi zinazowakabili wananchi.

Kutokana na umuhimu wa mradi huo na changamoto ya upatikanaji wa maji kwa wananchi, Mh. Msando aliielekeza DAWASA kuongeza muda wa utekelezaji wa mradi huo kutoka siku 10 hadi siku 21. Alieleza kuwa uamuzi huo unalenga kuhakikisha kazi inafanyika kwa viwango vya juu na kwa ubora utakaodumu.

"Nia yetu si kukamilisha kwa haraka tu, bali kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora, inayodumu na yenye kuleta unafuu wa kweli kwa maisha yao," alisema Msando.

Kwa upande wake, Mkuu wa kitengo cha Mazingira DAWASA aliyemwakilisha Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu DAWASA Mhandisi Modester Mushi amewahakikishia wananchi na uongozi wa wilaya kuwa kazi hiyo itafanyika kwa kasi kubwa, mchana na usiku, ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma hiyo muhimu kwa wakati na kwa ubora unaostahili. Alisisitiza kuwa DAWASA iko tayari kutekeleza maono ya Mhe. Rais ya kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma ya maji safi na salama.

Naye Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa ya Michungwani Bw. Sergius Kinyero, amesema ujio wa mradi huo ni mkombozi mkubwa kwa wananchi wake


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YAADHIMISHA SIKU YA UONI DUNIANI KWA UPIMAJI BURE WA MACHO ZAHANATI YA GOBA

    October 15, 2025
  • DC MSANDO ATEMBELEA MRADI WA MAJI KING'ONG'O, AONGEZA MUDA KWA DAWASA KUKAMILISHA KWA UBORA

    October 13, 2025
  • DC MSANDO AWATAKA WENYEVITI KUWASILISHA TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI

    October 04, 2025
  • SERIKALI KUJA NA MPANGO WA DHARURA NA HARAKA KUTATUA CHANGAMOTO YA USAFIRI WA MWENDOKASI

    October 01, 2025
  • Tazama zote

Video

UBUNGO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA | WANAFUNZI WAASWA KUJITUNZA
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa