• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC UBUNGO AKAGUA MIRADI YA AFYA

Posted on: December 8th, 2022


- Leo Disemba 08, 2022 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James akiwa ameambatana na Kamati yake ya Ulinzi na Usalama (KUU) pamoja na wataalamu kutoka Manispaa ya Ubungo wameendelea na ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa miradi ya afya

- Kwa siku ya leo miradi ya afya iliyotembelewa ni miradi 10 ambayo jumla ina thamani ya shilingi Bilioni 2.7 ambapo miradi hiyo inajengwa katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Ubungo

- Akiongea katika ziara hiyo Mhe. Kheri James ameipongeza idara ya afya na wakandarasi ambao wanasimamia miradi hiyo kwa kazi kubwa ambayo wanaifanya ambayo inaenda kutafsiri dhamira ya dhati ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye kugatua huduma ya afya kwa wananchi  

- Pamoja na pongezi hizo Mkuu wa wilaya pamoja na kamati ya Ulinzi na usalama wameainisha baadhi ya mapungufu ambayo wamebaini katika ziara hiyo ikiwemo miradi kadhaa kuwa nyuma ya muda kuelekea kwenye kukabidhi miradi hiyo. Vituo vya afya vya Palestina, Makuburi, Temboni pamoja na Msingwa ni miongoni mwa miradi ambayo kasi yake hairidhishi na tayari mkuu wa wilaya ametoa maelekezo ya kufanya kazi kwa masaa 24 ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati. Kwa kuongezea hilo mkuu wa wilaya amesema mpaka kufikia Disemba 25 vituo hivyo viwe vimekamilika kwa asilimia 100

- Katika mradi wa Hospitali ya Wilaya, Kamati imeridhishwa na kasi ya ujenzi unaoendelea ambapo kituo hicho kitakapokamilika kitakua kinatoa huduma za kibingwa kwa magonjwa ya kina mama pamoja na kina baba. Akiongea katika ziara hiyo mganga mfawidhi wa hospitali hiyo Dkt. Imani Mwelang'ombe amesema kuwa anamshukuru mhe. Rais kwa kuendelea kuleta fedha za ujenzi wa kituo hicho ambapo itasaidia kusogeza karibu huduma kwa wananchi
- Nae kaimu mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Dkt. Peter Nsanya ametoa shukrani nyingi kwa mkuu wa Wilaya pamoja na kamati ya Ulinzi na Usalama kwa kutenga muda kufanikisha ziara hii muhimu ya ukaguzi wa miradi ya afya ambayo ni muhimu sana kwa wananchi

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa