- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
- Pamoja na pongezi hizo Mkuu wa wilaya pamoja na kamati ya Ulinzi na usalama wameainisha baadhi ya mapungufu ambayo wamebaini katika ziara hiyo ikiwemo miradi kadhaa kuwa nyuma ya muda kuelekea kwenye kukabidhi miradi hiyo. Vituo vya afya vya Palestina, Makuburi, Temboni pamoja na Msingwa ni miongoni mwa miradi ambayo kasi yake hairidhishi na tayari mkuu wa wilaya ametoa maelekezo ya kufanya kazi kwa masaa 24 ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati. Kwa kuongezea hilo mkuu wa wilaya amesema mpaka kufikia Disemba 25 vituo hivyo viwe vimekamilika kwa asilimia 100
- Katika mradi wa Hospitali ya Wilaya, Kamati imeridhishwa na kasi ya ujenzi unaoendelea ambapo kituo hicho kitakapokamilika kitakua kinatoa huduma za kibingwa kwa magonjwa ya kina mama pamoja na kina baba. Akiongea katika ziara hiyo mganga mfawidhi wa hospitali hiyo Dkt. Imani Mwelang'ombe amesema kuwa anamshukuru mhe. Rais kwa kuendelea kuleta fedha za ujenzi wa kituo hicho ambapo itasaidia kusogeza karibu huduma kwa wananchi

