- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
- Kwasasa serikali imekuja na mpango wa kuchimba na kufufua visima vya maji ambavyo vitaongeza maji kwenye mfumo mzima wa DAWASA na kupelekea ahueni kwa wananchi
- Aidha kwa upande mwingine James amempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa mikakati aliyoelekeza kukabiliana na tatizo hili la maji ikiwemo mpango wa kufufua visima kale na kuchimba visima vipya ambapo siku ya kesho Rais Samia anatarajiwa kukabidhi mitambo kwaajili ya kuchimba visima hivyo katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Ubungo na Dar es Salaam kwa ujumla
- Akijibu hoja za Wenyeviti Meneja wa DAWASA Kibamba ndugu Elizabeth Sankere amesema kuwa hoja zote wamezichukua na wameahidi kuzifanyia kazi haraka sana kutoka sasa. Kwa upande mwingine Sankere amewapongeza wenyeviti hao kwa kutoa ushirikiano kwa DAWASA

