• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ELIMU YA LISHE KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

Posted on: June 8th, 2022



Leo tarehe 08/06/2022 Manispaa ya Ubungo imefanya mafunzo ya elimu ya lishe kwa walimu wakuu wa shule ya msingi na sekondari zilizopo Ubungo lengo ikiwa ni kuwajengea uelewa juu ya elimu ya lishe katika shule zao.


Akiongea Mratibu wa Lishe Manispaa ya Ubungo Beatrice Mossile ameelezea umuhimu wa Elimu ya Lishe mashuleni na kusisitiza juhudi za kuhakikisha watoto wanaelewa umuhimu wa Lishe kwa kuwa mabalozi wazuri kwenye jamii na hivyo kusaidia kuwa na jamii yenye kuzingatia mlo kamili na hivyo kuwa na lishe bora.

Aidha, Mossile ameelezea mwongozo wa kitaifa wa utoaji wa huduma ya chakula na lishe na huduma za lishe kwa watoto  chini ya miaka mitano shuleni ambapo amesema kuwa kwa sasa Serikali imekuja na mkakati wa huduma ya mkoba.


Ambapo watoto walioanza chekechea watapatiwa vitabu maalum vya kujazia taarifa zao za kliniki wakiwa shule pindi muda wa siku ya kliniki utakapofika lengo ni kuhakikisha watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano wanapata fursa ya huduma za kliniki pindi wawapo shuleni.


Sambamba na hayo Mossile ameelezea vifaa viitwavyo MUAC ambavyo vinafanya kazi yakupima lishe kwa wanafunzi kutegemeana na umri wao, ambapo walimu hao wameelezwa namna ambavyo wataalamu wa afya watatumia vifaa hivyo katika kupima lishe kwa wanafunzi.


Kwa upande wake mwakilishi wa Taasisi ya lishe Tanzania “NCT - Nutritition Connect Tanzania Ndugu Jackline Kawiche ameelezea madhara yatokanayo na lishe duni ikiwemo udumavu, upungufu wa damu, upungufu wa vitamini A, utapiamlo mkali, uzito pungufu na uzito uliokithiri.


Pamoja na hayo ameelezea madhara ya lishe kwa wanafunzi ikiwemo kiwango hafifu cha ufaulu, kutumia muda mrefu kufundisha, watoto kushindwa kuhudhuria masomo kila siku na magonjwa.


Kawiche amewaeleza walimu hao umuhimu wa kuwa na klabu za lishe mashuleni, Kuwa na kalenda ya Siku muhimu za Lishe, kuwa na bustani shuleni, kutenga muda wakutosha kwa wanafunzi na walimu mashuleni kushiriki michezo kwani kwa kufanya hayo yote yatapelekea kuimarisha Lishe bora kwa wanafunzi hao na kwa vizazi vijavyo.


#UbungoYetuFahariYetu

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA BILIONI 8.2 UBUNGO YAPITA KWA KISHINDO MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    June 05, 2025
  • TUZINGATIE USAFI KUEPUKA MAGONJWA

    May 31, 2025
  • BODI YA AFYA UBUNGO YAPONGEZA WATAALAM WA AFYA NA KUTOA MAAGIZO YAKUBORESHA NYANJA MBALIMBALI

    May 29, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa