• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

HAKUNA MGOMO WA MABASI MAGUFULI

Posted on: July 25th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James amewatoa hofu wananchi na watumiaji wa Stendi kuu ya Mabasi ya Magufuli iliyopo Mbezi kuwa Hakuna mgomo wowote wa mabasi katika Kituo hicho na huduma zinaendelea kutolewa kama kawaida ikiwemo usafirishaji wa abiria.

Kheri, ametoa kauli hiyo leo tarehe 25 julai,2022  asubuhi alipotembelea kituoni hapo kwa lengo la kuangalia utoaji wa huduma za usafiri na usafirishaji katika kituoni hapo  na kueleza kuwa hakuna mgomo wa madereva wa mabasi kwenye kituo hicho,  hivyo watu waendelee na shughuli zao kama kawaida

Aidha, Kheri amewashukuru watoa huduma kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa  kwa Halmashauri kwani kituo hicho kimetulia na kazi zinaendelea vizuri, hivyo ondoeni hofu kabisa  kwani hali ni shwari na hakuna linalokwamisha shughuli zozote zisiendelee katika kituo.

“Niwakumbushe jambo moja, kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya ubungo inajukumu la kulinda na kuleta Amani na kwa kuzingatia hilo nijukumu letu kutoa ushirikiano kwa wannchi wetu na tuko tayari mda wote ili mradi mfate utaratibu”  alisistiza Kheri.

Kheri ametumia nafasi hiyo kuwaeleza wananchi na watumiaji wote  wa kituo kuwasilisha changamoto kwa uongozi ili zitatuliwe na kutumia njia ya majadiliano kutatua changamoto zinazojitokeza na Serikali ipo tayari kutoa ushirikiano  “muachane na migomo au kuhatarisha usalama wa kituo”

“Ulinzi na usalama wa kituo chetu ni muhimu sana yule atakayechochea uvunjifu wa amani na serikali haitasita kuchukua hatua" amesisitiza Mhe. Kheri.

Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA April 26, 2021
  • TANGAZO KWA WAMACHINGA WOTE November 20, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YATOA ELIMU YA UNYONYESHAJI KWA KINA MAMA

    August 03, 2022
  • WAFANYABIASHA WAKUBALI KUANZA KULIPA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA

    August 03, 2022
  • UBUNGO YAFANYA MKUTANO NA WAFANYABIASHARA

    July 31, 2022
  • MSTAHIKI MEYA AKUTANA NA VIONGOZI WA SHIUMA UBUNGO

    July 25, 2022
  • Tazama zote

Video

HAKUNA MGOMO WA MABASI MAGUFULI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa