• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

HAKUNA MWANAFUNZI ATAKAYERUDISHWA NYUMBANI KUTOKANA NA SABABU YOYOTE

Posted on: January 9th, 2023

Mapema leo Januari 9, 2023 mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James pamoja na wataalamu kutoka idara ya elimu msingi na Sekondari wa Manispaa ya Ubungo wamefanya ziara ya kuona mapokezi ya wanafunzi wapya wa darasa la awali, darasa la kwanza na kidato cha kwanza katika shule mbalimbali za Manispaa ya Ubungo

Ziara hiyo imekuja leo kufuatia kufunguliwa kwa shule za msingi na sekondari za umma na binafsi kote nchini kwa mwaka mpya wa masomo 2023 ambapo Mkuu wa Wilaya ametembelea shule ya sekondari Mburahati, shule ya msingi Amani, shule ya sekondari Manzese pamoja na shule ya msingi Kimara.

Lengo la Ziara hiyo ni kuona mapokezi ya wanafunzi hao katika shule zao pamoja na kuongea na wanafunzi pamoja na wazazi waliowapeleka watoto wao kuhusu dhamira ya dhati ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha elimu bure inawafikia watoto wote bila kuwa na changamoto yoyote

"Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kuleta elimu bure kwa shule za msingi na sekondari kote nchini. Na kwa sisi Ubungo tunahakikisha hakuna mwanafunzi yoyote atakayerudishwa nyumbani kutokana na sababu yoyote ile" Alisema

Aidha kwa upande mwingine Mhe.James amesema wazazi wasihusishwe kwenye michango yoyote ya shule na kama kuna ulazima wa mchango wowote katika shule yao utahitajika basi ni sharti utaratibu ufatwe ili kibali kitolewe na yeye mwenyewe Mkuu wa Wilaya na si vinginevyo

Nae Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndugu Beatrice Dominic amesema shule zote za Manispaa ya Ubungo zimewapokea vizuri wanafunzi wake na zoezi la uandikishaji linaendelea ambapo mpaka hivi sasa wanafunzi walioandikishwa kwa shule za serikali kwa darasa la awali ni 2,010 sawa na asilimia 37, darasa la kwanza ni 11,331 sawa na asilimia 83 na kidato cha kwanza ni 15,800 ambayo ni zaidi ya asilimia 50. 


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI KATIKA ZAHANATI YA TEMBONI

    January 20, 2023
  • MADIWANI WA MANISPAA YA UBUNGO WAKUTANA KUPITIA SHERIA NDOGO MPYA

    January 20, 2023
  • MRADI MKUBWA WA KITUO CHA BIASHARA NA LOGISTIKI CHA AFRIKA MASHARIKI KUANZA KUJENGWA UBUNGO

    January 20, 2023
  • VISHKWAMBI 3354 VYAKABIDHIWA KWA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI - UBUNGO

    January 16, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 271 KUJENGA KITUO KIKUBWA CHA BIASHARA UBUNGO | MADUKA 2,060 | AFRIKA MASHARIKI KUJA UBUNGO
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa