• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO YAFANYA MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA MADIWANI KUJADILI TAARIFA YA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

Posted on: June 8th, 2020

Manispaa ya Ubungo imefanya Baraza Maalum la kujadili taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali katika ukumbi wa Little Flower uliopo Mbezi.

Baraza hilo limeongozwa na Kaimu Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe.Ramadhani Kwangaya,  Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic ambaye ni Katibu wa Baraza.

Baraza hilo limehudhuriwa na Mkaguzi Mkuu wa Nje-Ubungo Ndg. Suleiman Mwaliwale, Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Serikali za Mitaa Marry P. Assey,Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg. James Mkumbo, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya,Maafisa Tarafa wa Wilaya ya Ubungo, Madiwani na wataalam kutoka Manispaa.

Baraza hilo maalum lilikuwa na lengo la kupitia hoja za Mkaguzi wa nje na wajumbe wa Baraza kuzijadili kwa ajili ya kuzitolea majibu kabla hazijaenda kwenye Kamati ya Bunge.

Baraza lilikubaliana na hoja ambazo zilitolewa na mkaguzi wa hesabu za Serikali na kuitaka Halmashauri izingatie maoni ya kamati ya fedha  yaliyotolewa kwa mwaka wa fedha 2019/2020 na kufanyiwa kazi.

Vilevile Baraza lilipendekeza udhibiti uongezeke katika suala la mapato.

Pia Baraza lilishauri mkandarasi anaehusika na ujenzi wa jengo la Halmashauri kumaliza kazi kwa wakati.

Aidha Ndg. Suleiman Mwaliwale alitoa pongezi kwa Menejimenti ya Halmashauri na Madiwani kwa juhudi zilizofanyika kupata hati safi kwa miaka mitatu mfululizo.

Nae Mary Assey aliipongeza Manispaa ya Ubungo na Menejimenti kwa kupata hati safi kwa miaka mitatu mfululizo tangu kuanzishwa na kwa kujibu hoja ipasavyo na kuzifunga baadhi kama zilivyotolewa na Mkaguzi wa nje.

"Niwaombe mhakikishe kuna ukusanyaji mzuri wa mapato na kukusanya madeni na kuyafuatilia, bajeti isimamiwe na manunuzi na matumizi ya fedha yafuate taratibu." Aliongezea Marry Assey.

Katibu Tawala wa Wilaya alisisitiza hela inayokusanywa ihakikishwe inapelekwa benki. Vile vile watumishi wafanye kazi kwa kufuata taratibu na sheria.Watendaji ambao wana madeni ya muda mrefu wachukuliwe hatua.

Mwisho Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic aliwashukuru kwa juhudi na ushirikiano unaoendelea kutolewa na Ofisi ya Ras pamoja na waheshimiwa madiwani na kuahidi kufanyia kazi ushauri uliotolewa.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa