• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

IJUE TOFAUTI KATI YA GREEN HOUSE NA SCREEN HOUSE

Posted on: August 3rd, 2023

Kitalu nyumba “green house” ni aina ya kilimo kinachofanyika ndani kwa kujengewa na kuwekewa mifumo ya kudhibiti hali ya hewa tofauti na ilivyo kwa Kitalu nyumba aina ya “screen house” na kilimo cha nje “open field” ambacho ni ngumu kwa mkulima kuweza kudhibiti hali ya hewa hasa Hali ya joto.

Hayo yamesemwa na Ndg. Pascal Stephano Moswery ambae ni Mtaalamu wa Kilimo biashara akiwa kwenye maonesho ya nanenane ndani ya Banda la Manispaa ya Ubungo viwanja vya J.K Nyerere vilivyopo Mkoani Morogoro.

Moswery ameendelea kueleza kuwa Green House ni kilimo kinacholipa zaidi  ukilinganisha na kilimo cha screen house au open field kutokana na uwepo wa Mitambo inayotumiwa kwenye kilimo hicho ya kudhibiti hali ya hewa na hivyo kupelekea Mkulima kupata mazao mengi na yenye ubora wa hali ya juu.

Aidha, Moswery ameendelea kueleza kuwa mara nyingi kilimo cha green house au screen house huwa kilimo kinachofanyika kwenye eneo dogo hivyo ni vyema mkulima kuchagua mazao yenye kulipa zaidi ambayo atayauza kwa gharama kubwa mfano letusi, hoho za rangi, matango, nyanya na mengineyo ya aina hiyo.

“Kumbuka kuwa kulima sio suala la kuweka mbegu au kupanda tu mche na kumwagia maji Mkulima ni lazima kuzingatia sheria na taratibu za kilimo ili uweze kupata mazao mengi na yenye ubora” Alisema Moswery

Ikumbikwe kuwa miongoni mwa faida za kufanya kilimo cha green house au screen house ni kuzuia wadudu ambao wengeweza kuingia kwenye mazao na kutagaribu.

Moswery amepanda mazao mbalimbali kwa kutumia kilimo cha screen house ndani ya eneo lililopo kwenye bando la Manispaa ya ubungo zikiwemo hoho za rangi “colured cupscum” letusi nyekundu na kijani, nyanya, pilipili zizisowasha “paprika” pamoja na matango  “british cucumber” ambazo zimestawi vizuri na kwa ubora.

Tembelea Banda Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kwenye viwanja vya J. K Nyerere hapa Mkoani Morogoro kwenye maonesho ya nanenane upate fursa ya kujifunza bure masuala ya kilimo, mifugo na uvuvi hutojuta kutembelea Banda hilo.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa