• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA UBUNGO YATEMBELEA MANZESE SEKOMDARI

Posted on: July 21st, 2023

Kamati ya kudhibiti UKIMWI Manispaa ya Ubungo imetembelea shule ya sekondari ya Manzese kwa lengo la kuongea na wanafunzi wa shule hiyo kuzingatia maadili , sheria za shule na kuepukana na matendo maovu ya kikatili

Akizungumza katika ziara hiyo Eliam Manumbu kaimu mwenyekiti wa kamati ya kudhibiti UKIMWI aliwaasa wanafunzi kujiepusha na matendo maovu ya utovu wa nidhamu wanapokuwa shuleni na majumbani kwani kumekuwa na tabia zisizo sahihi zikiendelea ikiwemo maswala ya ulawiti, ukatili wa kingono, mapenzi wakiwa shuleni , wizi na ulevi.

Aliendelea kwa kusema kuwa ni vyema tukazingatia malengo yaliyotuleta shule na kuachana na makundi maovu, marafiki wasio wema na kila mmoja akumbuke  dhumuni la  kuja shule ni kufaulu na kutimiza malengo yake.

"Tujifunze kuridhika na kile wazazi wetu wanachotupa majumbani, wazazi  wanapigana kwaajili yenu, madhara ya ngono zembe ni kupata maambukizi ya virusi vya UKIMWI". aliwaasa Manumbu".

Aidha, mjumbe wa kamati hiyo Mhe. Jaffari Nyaigesha ambaye pia  ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo  aliwasisitiza wanafunzi hao kuhakikisha Wanasikiliza walimu wao, wazazi, walezi  na viongozi wa dini na kufuata wanayofundishwa. 

"Ili muwe taifa la kesho lenye faida nilazima muwe waadilifu na mkumbuke madhara ya mapenzi ya utotoni ni makubwa ikiwemo maradhi" aliongeza Nyaigesha

Nae Mjumbe wa kamati hiyo  Shehe Simba mwakilishi upande wa dini aliwaasa wanafunzi hao kuacha haraka matendo maovu yanayofanyika kwani hata mwenyezi Mungu apendezwi nayo  na kuzingatia maadili ya dini yanavyotaka.


Akisoma taarifa ya Club ya Afya na Lishe iliyoanzishwa shuleni hapo mwanafunzi Desderia William  alisema Club  inajumla ya wanafunzi 25 na  imefanikiwa kukua na kuanzisha bustani iliyopandwa mboga mbalimbali inayosimamiwa na club hiyo. Pia ameshukuru kwa ujio wa kamati katika shule hiyo kwani umekuwa wa manufaa kwa elimu waliyoipata.

Wanafunzi wa shule ya sekondari Manzese wakisikiliza kwa makini elimu wanayopewa na wanakamati baada ya kutembelea shuleni hapo

Wajumbe wa kamati wakiteta jambo















ReplyForward






Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa