• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI YATEMBELEA CHILD IN THE SUN

Posted on: January 10th, 2024

Kamati ya Kudhibiti Ukimwi Manispaa ya Ubungo imetembelea Kituo cha kulelea watoto cha Child in the Sun kilichopo Kata ya Mbezi Mtaa wa Makabe kujionea namna kituo hicho kinavyotunza watoto hao sambamba na utoaji wa elimu ya kudhibiti maambuzi ya Ukimwi

Kituo hicho kina jumla ya watoto 35 ambao ni wavulana na kinatoa mafunzo stadi ya useremala, uchomeleaji, ushonaji pamoja na ufyatuaji wa matofali kwa watoto hao

Akizungumza katika ziara hiyo iliyofanyika  tarehe 10 januari, 2024 Mkurugenzi wa kituo hicho Padri Pari amesema kuwa kituo hicho kinachukua watoto kuanzia miaka 10 na baada ya kuhitimu miaka 18 kituo kinawatafutia kazi ili waanze kujikimu wenyewe ikiwa ni kwa mujibu wa sheria.

Aliendelea kueleza kuwa,Kituo hicho kina walezi 10 ambao husaidia watoto hao pamoja na mapadri wawili ambao ni viongozi katika kituo hicho

Akiongea katika ziara hiyo Naibu meya Manispaa ya Ubungo Mhe. Yusuph Yenga amewaasa watoto hao wazingatie mafunzo wanayopata kwa manufaa yao ili kukuza vipaji vitakavyowasaidia kuingiza kipato wanapoenda kuanza maisha yao

"Halmashauri itaenda kuhakikisha inawasapoti ili kuwawezesha kukuza vipaji vyenu" na niwa ahidi katika kukuza kipaji cha michezo kwa wale wanaopenda mpira ntawaletea jezi na mpira utakaowasaidia kufanya mazoezi.alisem hayo Yenga

Nae mjumbe wa kamati hiyo ndg. Juvenali Kaganda  aliwataka watoto hao kuachana na tamaa, ngono zembe na udanganyifu unaofanywa na watu waovu ambavyo vinaweza kusababisha kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi

Akishukuru kwa niaba ya wenzie mmoja wa watoto hao Abdalah  ameshukuru kwa kamati hiyo kutembelea kituo hicho na kuahidi kuzingatia elimu waliyoipata

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa