• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA SIASA WILAYA YA UBUNGO YAIPONGEZA WILAYA HIYO KWA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO.

Posted on: September 30th, 2023

“Ninawapongeza sana Viongozi wa Manispaa ya Ubungo kwa usimamizi utekelezaji wa ujenzi mradi huu mkubwa kwa maslahi ya Taifa hususani watoto wa kike wanasayansi”

Pongezi hizo zimetolewa na Mhe. Rogert Mbowe Mwenyeketi wa chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ubungo alipotembelea Shule mpya Maalumu ya Sekondari ya wasichana ya sayansi ya Mkoa wa Dar es Salaam inayojengwa ndani ya Manispaa ya Ubungo ambayo itachukua wanafunzi wa kike wa kuanzia kidato I-VI akiongozana na Kamati ya Siasa (CCM) ya Wilaya hiyo.

“Nimefurahishwa na muonekano wa majengo hayo pamoja na jitihada zinazoendelea kufanyika kwa lengo la kuboresha Shule hii muhimu ambayo italeta msaada mkubwa kwa mabinti wanaosoma mchepuo wa sayansi niwaombe tuitunze na kuilinda miundombinu yake na nafarijika kuona Ilani inaendelea kutekelezwa na kusimamiwa ipaswavyo” alisema Mbowe.

Akisoma taarifa ya mradi huo Ndg. Andambike Kyomo ameeleza kuwa kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Mkoa wa Dar es Salaam kupitia Manispaa ya Ubungo ilipokea kiasi cha shilingi Bilioni 3 Fedha kutoka Serikali kuu zilizotokana na Programu ya uboreshaji wa elimu ya Sekondari SEQUIP kwa awamu ya kwanza kwa ajili ya ujenzi wa Shule hiyo.


Katika awamu hiyo majengo mbalimbali yamejengwa ikiwemo ujenzi wa madarasa 12, ujenzi wa matundu ya vyoo 1, ujenzi wa mabweni 5, ujenzi wa vyumba vya maabara 4, ujenzi wa jengo la Utawala 1, ujenzi wa bwalo 10, ujenzi wa nyumba za walimu 3 sambamba na ujenzi wa miundombinu ya kazi za nje ikiwemo ujenzi wa tanki la kuhifadhi maji lita 32000, ujenzi wa mitaro ya maji, ujenzi wa uzio, ujenzi wa vichomea taka na ujenzi wa njia za waenda kwa miguu alisema Kyomo.

Aidha, Kyomo ameendelea kuelezea kuwa kwa awamu ya pili Manispaa ya Ubungo ilifanikiwa kupokea shilingi bilioni 1.1 kwa ajili ya ujenzi wa awamu ya pili ya miundombinu ya Shule hizo ikiwemo vyumba vya madarasa 10, chumba cha Tehama - 1, Maktaba - 1, Nyumba za walimu 3 kati ya hizo mbili ni (2 in 1) na Mabweni ya wanafunzi 80 - 5.

Mkurugenzi manispaa ya ubungo ELIAS NTIRUHUNGWA akionyesha mfano wakati wa ziara walipotembelea katika shule ya sekondari ya DAR ES SALAAM GIRLS iliyopo kata ya Kwembe 


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa