• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA UKIMWI MANISPAA YA UBUNGO YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA CLUB ZA UKIMWI MASHULENI

Posted on: November 8th, 2022


- Leo Novemba 8, 2022 kamati ya UKIMWI Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo imefanya ziara ya kutembelea Club za UKIMWI katika shule ya Msingi Makuburi Jeshini na shule ya Sekondari Yusuf Makamba na kujionea uendeshaji wa Club hizo mashuleni

- Katika Shule ya Msingi Makuburi Jeshini, Mwalimu mlezi wa club hiyo Mwalimu Cecilia Lasway Donati amesema kuwa club yao ina wanafunzi 51 na imeanzishwa mwaka 2020 na imeendelea kua ni chachu ya utoaji elimu ya kujikinga dhidi ya virusi vya UKIMWI shuleni hapo

- Kwa upande wa shule ya sekondari Yusuf Makamba mwalimu mlezi wa club hiyo mwalimu Theodosia Bilegeya amesema kuwa club yao inaendelea vizuri toka kuanzishwa kwake mwaka huu 2022 ambapo ina wanafunzi wa kidato cha kwanza na kidato cha pili tu.

- Akiongea katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Kamati ya UKIMWI ambaye pia ni Naibu Meya Manispaa ya Ubungo Mhe. Yusuf Yenga amesema kuwa Club za Afya mashuleni ni muhimu sana kwenye kuongeza uelewa wa masuala ya Afya kwa wanafunzi wakiwa bado wadogo hali itakayopelekea kujua Afya zao na kuzilinda kwa kadri wanavyokuwa

- Aidha ili kuziboresha club hizo na kuratiba vizuri suala la Afya za wanafunzi, wajumbe wameshauri kuandaliwa mkakati wa kupima afya za wanafunzi wote ili kujua ukubwa wa tatizo la wanafunzi wanaoishi na Virusi vya UKIMWI ambapo itasaidia kuwalea wanafunzi hao kwa usalama zaidi kuendelea na masomo yao. Pia kamati imeshauri kuwashirikisha wazazi kwenye mchakato mzima wa kujua afya za wanafunzi katika shule zetu za Msingi na Sekondari

- Katika upande mwingine Kamati imependekeza kuandaliwa utaratibu wa chakula na matumizi mengine kwa wanafunzi ambao wanaishi na virusi vya UKIMWI ili kuendelea kuwalinda wakati wote wanapokua shuleni

- Nae Katibu wa kamati hiyo Bibi Mercy Ndekeno amewahakikishia wajumbe wa kamati hiyo kuwa mapendekezo yote yamechukuliwa na yatafanyiwa kazi kwa maslahi mapana ya Afya za wanafunzi kwenye shule za Msingi na Sekondari

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa