- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
- Katika Shule ya Msingi Makuburi Jeshini, Mwalimu mlezi wa club hiyo Mwalimu Cecilia Lasway Donati amesema kuwa club yao ina wanafunzi 51 na imeanzishwa mwaka 2020 na imeendelea kua ni chachu ya utoaji elimu ya kujikinga dhidi ya virusi vya UKIMWI shuleni hapo
- Akiongea katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Kamati ya UKIMWI ambaye pia ni Naibu Meya Manispaa ya Ubungo Mhe. Yusuf Yenga amesema kuwa Club za Afya mashuleni ni muhimu sana kwenye kuongeza uelewa wa masuala ya Afya kwa wanafunzi wakiwa bado wadogo hali itakayopelekea kujua Afya zao na kuzilinda kwa kadri wanavyokuwa

