• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

Posted on: May 3rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mh. Lazaro Twange ametoa wito kwa wananchi kuendelea na zoezi la usafi kila mwisho wa mwezi ili kuweka safi Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.

Kampeni hiyo iliyozinduliwa  Mei 3, 2025 ijulikanayo kama KAUSAPEU ( Kataa uchafu, Safisha, Pendezesha Ubungo) imeshirikisha wadau wa Mazingira , viongozi wa Serikali, Vyama vya siasa, wakuu wa Idara wa Manispaa ya Ubungo, wafanyabiashara pamoja na Wakazi wa Kata ya Msigani, Mtaa wa Kwa Yusuph ikilenga kupendezesha na kuiweka safi Ubungo.

Mh. Twange amewataka wananchi na wafanyabiashara wote kuhakikisha maeneo yote yanakuwa safi muda wote huku akitaka suala la usafi linakuwa ni suala endelevu na kwamba watakuwa wanafanya ukaguzi kila baada ya muda katika Mazingira yao.

Pia amesema kuwa hawatasita kuwachukulia hatua wananchi na wafanyabiashara wote watakaokiuka sheria, kanuni na taratibu za uhifadhi wa mazingira kwa kutumia sheria ndogo ambazo zimeelekeza kutoza faini kwa atakae bainika kuharibu mazingira.

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti wa taka ngumu Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Bw. Lawi Bernard Mgongo amesema kampeni hii kutakuwa na zawadi zitakazo tolewa kwa kila nusu ya mwaka ambapo Shilingi 600,000 itatolewa kwa mtaa utakaofanya vizuri.

"Na kila baada ya miezi sita zawadi zitatolewa kwa mtaa utakaofanya vizuri wa kwanza shilingi 600,000/= wa pili 300,000/= na watatu 200,000/=

Na Kwa Mtaa ambao utafanya vibaya utapewa Bendera ambayo itasomeka "Balozi wa Uchafu Ubungo" ~ Amesema Lawi

Nae, Mstahiki Meya Manispaa ya Ubungo Mh. Jaffary Nyaigesha amepongeza kuanzishwa kwa  kampeni hiyo na kusisitiza kuwa ni lazima tupambane kukataa uchafu na sheria ya hakuna kutupa hovyo taka lazima ifuatwe.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa