• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMPENI YA KAU SAPEU INATEKELEZWA KWA KASI UBUNGO

Posted on: October 28th, 2023

Kampeni ya Kataa Uchafu Safisha, Pendezesha Ubungo (KAU - SAPEU) imeendelea kuupiga mwingi Ubungo wananchi wameendelea kujitokeza kwa wingi kufanya Usafi  katika maeneo yao.

 Tarehe 28/10/2023 Ikiwa ni jumamosi ya mwisho wa mwezi Ubungo kiwilaya usafi umefanyika katika Kata ya Makuburi katika eneo la Riverside kuanzia darajani Gide hadi darajani mpakani na Ilala

Akiongea katika Usafi huo Katibu Tawala Ndg, Hassan Mkwawa amesema kuwa, ni jukumu la kila mtaa na kata kuhakikisha maeneo yanayo wazunguka yanakuwa safi kwani itasaidia katika kuepukana na magonjwa ya mlipuko  na pia katika kampeni inayoendelea kuna zawadi ambazo zitatolewa kwa mtaa na kata itakayofanya vizuri katika usafi

"Nitoe wito kwa wana Makuburi usafi unaanza na sisi na usafi katika maeneo yetu uwe endelevu" alisisitiza Hassan

Hassan, aliendelea kusisitiza usafi ni jukumu la kila mmoja kufanya usafi mara kwa mara na niwapongeze vikundi vya jogging kwa kujitokeza kwa wingi katika kampeni ambazo serikali imekua ikiziendesha.

Aliendelea kusema kuwa, zoezi la usafi liwe endelevu, mkafanye usafi hata majumbani na mpeleke ujumbe hata kwa walio majumbani kwa kuhakikisha wanasafisha na kuweka maeneo safi

Akiongea Kwa niaba ya Mkurugenzi Ndg. Andambike Kyomo amewashukuru wadau wote kwa kujitokeza katika zoezi la usafi na aliendelea kwa kutoa rai kwa wananchi wa maeneo yote kuendelea kufanya usafi na kuweka mazingira safi.

"Tunaelekea katika kipindi cha mvua nyingi  tuweke maeneo yetu salama na maeneo yenye mitaro kwa kusafisha mitaro na kupanda miti pia"alisistiza Kyomo

Aidha, Wadau mbalimbali wamejitokeza wakiwemo Taasisi ya Tanroad, Kampuni ya BMP( incorporate ltd) Kikundi cha Ngumi Ubungo District Boxing association, Suma JKt, vikundi vya Jogging ikiwemo Mwongozo jogging,Mikongeni jogging na Chama cha mapinduzi Kata ya Ubungo.


pichani ni wananchi  wakifanya usafi katika eneo la riverside 

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa