• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KATIBU MKUU UVCCM TAIFA ARIDHISHWA NA UWEZESHWAJI WA VIJANA KUPITIA MIKOPO YA HALMASHAURI

Posted on: August 10th, 2022


Katibu Mkuu Umoja wa vijana taifa (UVCCM) Ndg. Kenani Kihongosi ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kwa uwezeshaji mzuri kwa vikundi vya vijana kupitia mikopo ya 10% ya mapato ya ndani ambapo kupitia mikopo hiyo vijana wengi wanajipatia kipato na kuzalisha ajira kwa vijana wenzao.


Pongezi hizo amezitoa leo septemba 10, 2022 wakati alipotembelea kikundi cha vijana cha UMOJA NI NGUVU kilichopo katika halmashauri hiyo kata ya kibamba kinachojishughulisha na utengenezaji wa urembo wa nyumba kupitia unga wa gypsum na kueleza kuwa kutoa mikopo hiyo ni kutekeleza kwa vitendo dhamira ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha vijana wanawezeshwa.


Kenani amesema kuwa, Kwa mujibu wa taarifa ya kikundi hicho, Vijana hao baada ya kupata mkopo wa Halmashauri wa shilingi Milioni 37.5 wameboresha uzalishaji wa bidhaa za kiwanda chao, kuongeza wateja , kufanya marejesho kwa wakati na kulipa kodi za Halmashauri na TRA.

Kenani amekiri kuwa, Moja ya changamoto kubwa kwa vijana wanaopata mikopo hii hawafanyi marejesho lakini kikundi hicho kinafanya marejesho vizuri na wana mpango wa kumaliza mkopo wao kabla ya muda uliopangwa, “nawapongeza sana”.


“Vijana wakiwezeshwa wakafanya kazi za uzalishaji mali na biashara ni walipaji wazuri wa kodi za serikali na nchi itapiga hatua kubwa kimaendeleo” alieleza Kenani.


Aidha, amesema pamoja na mafanikio ya kikundi hicho ameitaka Halmashauri kuhakikisha vijana hao wanasaidiwa kutatua changamoto zao hasa ya kupata gari kwa ajili ya kusafirishia bidhaa zao kwa wateja “na hili najua lipo ndani ya uwezo wenu kupitia mapato yenu ya ndani, nimetembelea vikundi vingi sana lakini kikundi hiki kinaweza kuwa cha mfano katika kuitendea haki mikopo hii kupitia mapato ya ndani”

Wito wangu kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii ni kuendelea kutoa elimu kwa vijana namna ya kupata mikopo hii kwa kuwaelekeza vitu vya kuzingatia kwa ajili kupata mikopo hiyo ili tuwe na vijana wengi wanaojishughulisha na kutoa ajira kwa vijana wengine.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • CHALAMILA AZINDUA BIASHARA SAA 24 UBUNGO

    May 09, 2025
  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa