• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KATIBU MKUU UVCCM TAIFA ARIDHISHWA NA UWEZESHWAJI WA VIJANA KUPITIA MIKOPO YA HALMASHAURI

Posted on: August 10th, 2022


Katibu Mkuu Umoja wa vijana taifa (UVCCM) Ndg. Kenani Kihongosi ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kwa uwezeshaji mzuri kwa vikundi vya vijana kupitia mikopo ya 10% ya mapato ya ndani ambapo kupitia mikopo hiyo vijana wengi wanajipatia kipato na kuzalisha ajira kwa vijana wenzao.


Pongezi hizo amezitoa leo septemba 10, 2022 wakati alipotembelea kikundi cha vijana cha UMOJA NI NGUVU kilichopo katika halmashauri hiyo kata ya kibamba kinachojishughulisha na utengenezaji wa urembo wa nyumba kupitia unga wa gypsum na kueleza kuwa kutoa mikopo hiyo ni kutekeleza kwa vitendo dhamira ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha vijana wanawezeshwa.


Kenani amesema kuwa, Kwa mujibu wa taarifa ya kikundi hicho, Vijana hao baada ya kupata mkopo wa Halmashauri wa shilingi Milioni 37.5 wameboresha uzalishaji wa bidhaa za kiwanda chao, kuongeza wateja , kufanya marejesho kwa wakati na kulipa kodi za Halmashauri na TRA.

Kenani amekiri kuwa, Moja ya changamoto kubwa kwa vijana wanaopata mikopo hii hawafanyi marejesho lakini kikundi hicho kinafanya marejesho vizuri na wana mpango wa kumaliza mkopo wao kabla ya muda uliopangwa, “nawapongeza sana”.


“Vijana wakiwezeshwa wakafanya kazi za uzalishaji mali na biashara ni walipaji wazuri wa kodi za serikali na nchi itapiga hatua kubwa kimaendeleo” alieleza Kenani.


Aidha, amesema pamoja na mafanikio ya kikundi hicho ameitaka Halmashauri kuhakikisha vijana hao wanasaidiwa kutatua changamoto zao hasa ya kupata gari kwa ajili ya kusafirishia bidhaa zao kwa wateja “na hili najua lipo ndani ya uwezo wenu kupitia mapato yenu ya ndani, nimetembelea vikundi vingi sana lakini kikundi hiki kinaweza kuwa cha mfano katika kuitendea haki mikopo hii kupitia mapato ya ndani”

Wito wangu kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii ni kuendelea kutoa elimu kwa vijana namna ya kupata mikopo hii kwa kuwaelekeza vitu vya kuzingatia kwa ajili kupata mikopo hiyo ili tuwe na vijana wengi wanaojishughulisha na kutoa ajira kwa vijana wengine.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa