• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KIKAO CHA KUJADILI UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA JANUARI - MARCHI CHAFANYIKA

Posted on: June 14th, 2024

Katika kuhakikisha lishe inaendelea kuwa ni suala mtambuka kwa jamii, Idara ya Afya, lishe na Ustawi wa jamii kupitia kitengo cha lishe wameendelea kutoa elimu kwa wajawazito, wazazi na walezi kuhusu umuhimu wa kuzingatia lishe kamili kwa watoto walio chini ya miaka 5

Hayo yameelezwa na afisa lishe Manispaa ya ubungo Beatrice Mossile wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa Mkataba wa lishe kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia Januari hadi Machi 2023/2024

Mossile aliendelea kueleza kuwa kwa kipindi hicho pia Ugawaji wa vidonge vya madini ya chuma kwa wajawazito umeweza kufanikiwa kutolewa katika vituo vya kutolea huduma za afya kwa asilimia 97 na  wajawazito wamefanikiwa kupatiwa vidonge hivyo

Jumla ya watoto 151 waligundulika na utapiamlo lakini wamefanikiwa kupatiwa matibabu na kati yao 6 wanaendelea kufatiliwa kwa ukaribu. Alieleza Mossile

Aliendelea kueleza kuwa katika kuhakikisha masuala ya usafi masokoni katika bar unaendelea kufanyika Idara ya Afya imeendelea kusimamia jambo hilo kwa ufasaha na zoezi hilo limekuwa likisimamiwa na Afisa Afya wa Manispaa

Nae, Mganga Mkuu manispaa ya  ubungo Dkt.Tulitweni Mwinuka  amesema kuwa Kamati imetoka na maazimio ikiwemo  kufanyia kazi  changamoto ambayo imeendelea kujitokeza  ya watoto kuzaliwa chini ya uzito unaotakiwa na kuahidi kufanyia kazi suala hilo.

Dkt.Tulitweni aliendelea kueleza kuwa kama ilivyo desturi zoezi la utoaji wa elimu kuendelea kutolewa hasa ikilenga kuelimisha jamii kuhusu kilimo cha mjini (kilimo cha kisasa)

Nae kaimu Mkurugenzi Kissa Mbila amewataka wajumbe wa kamati hiyo kuhakikisha changamoto iliyoonekana  na kupelekea kupata alama ya njano katika swala la watoto kuzaliwa na uzito mdogo iweze kufanyiwa kazi na kupata maksi sahihi.

Aidha, Mbilla pia amekabidhi vibao 66 vya kupima urefu wa watoto na mizani 18 kwa Mganga Mkuu wa Manispaa.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa