• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

LEAT WASHIRIKIANA NA SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAZINGIRA KATIKA MAENEO KOROFI

Posted on: January 26th, 2021

Shirika lisilo la kiserikali linalofanya shughuli za ulinzi na uhifadhi wa mazingira na rasilimali za maliasili la  Lawyers Environment action team (LEAT) limetembelea Kata ya Kimara mtaa wa mavurunza uliopo Wilaya ya Ubungo  kujionea  mazingira  korofi

Aidha wakati wakitembelea katika mtaa wa mavurunza wananchi  walielezea changamoto wanazozipata kutokana na mto huo kupita katika nyumba za watu na hata nyumba nyingine kusombwa na maji na kupelekea hali hatarishi kwa wakazi waliobaki na watoto wa shule kwenda mashuleni wakati wa mvua.

Akizungumza na wataalam kutoka LEAT diwani wa kata hiyo Mhe.Nuru Mbezi aliomba shirika hilo kwa kushirikiana na serikali kusaidia  namna bora ya kutatua changamoto hiyo kwa wakazi wa mavurunza  ili kuleta ahueni ya eneo hilo korofi kwa jamii kwaajili ya kuleta ustawi wa afya ya mazingira.

Aliendelea kwa kusema kuwa wanakijiji wa eneo hilo wanachukua hatua mbalimbali katika kudhibiti maji kusogea katika maeneo yao lakini jitihada zimekuwa zikifeli hata kupelekea mto huo kuendelea kusogea.

Sambamba na hayo Afisa mazingira Manispaa ya Ubungo Ndg.Ezra Guya aliomba wananchi kuzingatia pia sheria za mazingira hasa katika ujenzi wa maeneo yaliyohatarishi karibu na mito kwa kuhakikisha wanajenga nyumba zao umbali wa mita 60 kutoka katika mito hiyo

Pia Wananchi waeneo hilo waliomba serikali kuliangalia jambo hilo kwa kina zaidi na kuweza kuwasaidia kupata msaada wa kujengewa daraja iliwaweze kufanya shughuli zao hata kipindi cha mvua.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YAADHIMISHA WIKI YA LISHE KITAIFA KWA ELIMU NA HUDUMA ZA LISHE KWA JAMII

    November 21, 2025
  • CHUKI NI UGONJWA HATARI UNAOWEZA KUSABABISHA KIFO KWA HARAKA

    November 20, 2025
  • BENKI YA DUNIA YAKAGUA MIRADI YA DMDP UBUNGO

    November 18, 2025
  • MABINTI WAASWA KUJIWEKEA MALENGO NA KUJITUMA ILI KUTIMIZA NDOTO ZAO

    November 15, 2025
  • Tazama zote

Video

UBUNGO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA | WANAFUNZI WAASWA KUJITUNZA
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa