• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

LSF,TAWLA,MANISPAA YA UBUNGO ZANDUA MRADI WA HATI YANGU MAISHA YANGU

Posted on: August 6th, 2021

Shirika lisilo la kiserikali la legal services facility Kwa kushirikiana na chama cha wanasheria Tanzania (TAWLA) pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo imezindua mradi utakaowawezesha wanawake wanamiliki vipande vya ardhi katika Manispaa hiyo kupata hati za umiliki wa ARDHI zitakazowawezesha kujikwamua kiuchimi na kupata Elimu ya masuala ya ardhi.

Mradi huo ujulikanao *Hati yangu maisha yangu* umeanzishwa mahususi Kwa ajili ya kukabiliana na changamoto zinazowakumba wanawake wa hali ya chini ambao wanamiliki ardhi lakini wameshindwa kukamilisha zoezi la umilikishwaji kutokana na kushindwa kumudu Gharama za kupata hati.

 Akizungumza wakati uzinduzi WA mradi huo, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo alisema kuwa anawashukuru LSF ambao ni wafadhili  na TAWLA watekelezaji WA mradi kwa kutambua changamoto zinazowakabili wanawake katika jamii na kuamua kutekeleza mradi huo katika Manispaa ya Ubungo kwa  kata za Msigani, Mbezi, kwembe, Goba na Kibamba watakaopimiwa maeneo yao kwa kuchangia asilimia 20 tu ya Gharama hizo.

"Nitoe Rai Kwa wanawake wa kata husika kujitokeza Kwa wingi ili waweze kupata Elimu juu ya haki zao za kumiliki ardhi na fursa za kiuchumi pamoja na kipimiwa maeneo yao ambayo walishindwa kupima kutokana nakikwazo cha Gharama za upimaji" alisisitiza Beatrice

Aidha, Beatrice alieleza kuwa kupitia elimu itakayotolewa Kwa jamii itasaidia kuondoa dhana potofu juu ya wanawake katika kumiliki ardhi na faida zake kwani dhana hizo zimesababisha athari Kwa wanawake wengi.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji Mkuu wa LSF Bi Lulu Ng'wanakilala alisema wanayo furaha kubuni mradi huo na kutoa ruzuku Kwa TAWLA kutekeleza mradi huo unaolenga zaidi kuboresha maisha ya wanawake na kupunguza umasikini.

Ng'wanakilala alifafanua kuwa mradi huo utawafikia wanawake takribani 2000 Kwa kuwapa Elimu na zaidi ya wanawake 300 watapata hati miliki zao Kwa kuchangia asilimia 20 ya gharama ya upimaji "wanawake wa Ubungo changamkieni fursa"

Nae Mkurugenzi Mkuu wa chama cha wanasheria wanawake Tanzania (TAWLA) Bi Tike Mwambipile alisema anaishukiru Serikali Kwa kuukubali mradi na ni matumaini yake kuwa programu ya *hati yangu maisha yangu* itachangia kupunguza umasikini Kwa wanawake wa Ubungo hasa Kwa kata tano ambazo zitamechaguliwa kutekeleza mradi huo Kwa mara ya kwanza.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa