• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAANDALIZI YA UANZISHAJI WA KITUO CHA KUCHAMBUA TAKA KATIKA MANISPAA YA UBUNGO

Posted on: June 22nd, 2021


Manispaa ya Ubungo kwa kushirikiana na Ofisi ya Makamu Rais Idara ya Mazingira inatarajia kuanzisha mradi wa ujenzi wa vituo viwili vya kuchambua taka lengo ikiwa ni kuhamasisha matumizi ya mbinu bora na rafiki kwa mazingira katika usimamizi wa taka zinazozalishwa katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.

Akiwasilisha taarifa ya uanzishwaji wa mradi huo, Dkt. Hussein Mohamed Omar kutoka ofisi ya Ofisi ya Makamu wa Rais Idara ya Mazingira, ameeleza kuwa mradi huo utagharimu dolla za kimarekani 102,500 huku manispaa ikiwajibika kutoa eneo la kutekeleza mradi huo.

Dkt. Omar amefafanua kuwa mradi huo utapunguza uchafuzi wa mazingira unaotokana na kemikali sumu aina ya uPOPs zinazodumu kwenye mazingira kwa muda mrefu kutoakana na uchomaji taka.

“Vituo vitakavyojengwa vitakuwa vya aina mbili moja kituo kichafu yaani kinachopokea taka zisizotenganishwa na kituo kisafi ambacho kitapokea taka zilizochambuliwa” alieleza Dkt Omar.

Mradi huu unatarajia kuanza kutekelezwa mapema mwezi julai mwaka huu mara baada ya mkataba wa makubaliano kusainiwa kwa pande zote mbili.

Dkt. Omar ameendelea kueleza kuwa, maeneo 29 katika Manispaa ya Ubungo uchomaji wa taka ni miongoni mwa njia kuu za utupaji taka wakati Asilimia17% ya Taka zinazozalishwa huchomwa au kufukiwa ndio maana ubungo imepata fursa ya kuwa sehemu ya majaribio ya kutekeleza mradi huo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Mansipaa hiyo Beatrice Dominic amesema kuwa, Manispaa imeupokea mradi kwa mikono miwili kwani uhitaji  wa vituo vya ukusanyaji, upembuaji na uchakataji wa taka ni muhimu sana katika kuhakikisha mazingira yanakuwa safi, kuzalisha ajira pamoja na kupunguza sumu inayotokana na taka hizo.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa