- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Akiongea katika maadhimisho hayo Bi Hilda Malosha mratibu wa kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa wilaya hiyo amesema Manispaa imejipanga kupambana na ukatili wa kijinsia kwa kuanza kupita kwenye mitaa na kata kwa maeneo yote ya Magulio, vituo vya usafiri na nyumba za ibada kwaajili ya kutoa elimu ya kupinga ukatili wa kijinsia.
Kwa upande wake Bi. Elionora Joseph Mosha katibu wa Red Cross tawi la chuo kikuu cha Dar es Salaam ambae ni mmoja kati ya waandamanaji hao amesema ukatili wa kijinsia ni moja kati ya vitu vinavyopelekea mipango na ndoto za watu wengi hususani wanawake na watoto kushindwa kufikia ndoto zao hivyo ameiasa jamii kuacha vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.

