• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAAZIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA UBUNGO

Posted on: November 26th, 2022


Manispaa ya Ubungo leo tarehe 26/11/2022 imeadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yenye kauli mbiu isemayo ‘’kila uhai una thamani tokomeza mauaji na ukatili dhidi ya wanawake na watoto’’

Maadhimisho hayo yalienda sambamba na maandamano yaliyoanza katika kituo kikuu cha mabasi cha Magufuli bus terminal hadi ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo na kupokelewa na Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo.

Maandamano hayo yamehusisha wadau mbalimbali wa ASAS za kiraia “NGOs” wakiwemo, vikundi vya wajasiriamali viliyopata mikopo ya asilimia 10 ya fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri, SMAUJATA, wananchi, viongozi na wataalamu wa Manispaa  hiyo.

Akiongea katika maadhimisho hayo Bi Hilda Malosha mratibu wa kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa wilaya hiyo amesema Manispaa imejipanga kupambana na ukatili wa kijinsia kwa kuanza kupita kwenye mitaa na kata kwa maeneo yote ya Magulio, vituo vya usafiri na nyumba za ibada kwaajili ya kutoa elimu ya kupinga ukatili wa kijinsia.

Malosha ameendelea kueleza maswala ya ukatili wa kijinsia yanaleta madhara makubwa katika jamii yasipo shughulikiwa ipasavyo, kila mwana jamii anawajibu wa kuhakikisha ukatili wa kijinsia unatokomezwa kwa kutoa taarifa kwenye vyombo husika kwa hatua zaidi.

Nae Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mhe. Jaffery Nyaigesha ameendelea kusisitiza kuwa ukatili wa kijinsia hautafumbiwa macho na yeyote atakaye bainika kufanya ukatili huo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake na ametoa wito kwa jamii kuhakikisha kila mmoja anawajibika kupinga ukatili wa kijinsia.

Kwa upande wake Bi. Elionora Joseph Mosha katibu wa Red Cross tawi la chuo kikuu cha Dar es Salaam ambae ni mmoja kati ya waandamanaji hao amesema ukatili wa kijinsia ni moja kati ya vitu vinavyopelekea mipango na ndoto za watu wengi hususani wanawake na watoto kushindwa kufikia ndoto zao hivyo ameiasa jamii kuacha vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa