• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MADIWANI WAIPONGEZA UBUNGO KWA UKUSANYAJI MZURI WA MAPATO ROBO YA KWANZA

Posted on: December 2nd, 2022

Madiwani Manispaa ya Ubungo kupitia baraza la kawaida madiwani la robo ya kwanza 2022/2023 kwa nyakati tofauti wameipongeza timu ya menejimenti ya Manispaa hiyo ikiongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Bi. Beatrice Dominic kwa kufikia lengo la ukusanyaji wa mapato kwa makisio ya robo kwanza ya mwaka 2022/2023.


Hayo yamejiri kwenye baraza la kawaida la Madiwani la robo ya kwanza ya mwaka 2022/2023 ambalo hupitia na kujadili utekelezaji wa taarifa mbalimbali za halmashauri hiyo.


Akiongea wakati anasoma taarifa ya Kamati ya Fedha na Utawala Mhe. Ismail Mvungi kwa niaba ya mwenyekiti wa Kamati hiyo ameeleza hadi kufikia  tarehe 30 Septemba, 2022 halmashauri iliweza kukusanya Mapato ya ndani yenye jumla ya Shilingi Bilioni 7.8 ambayo ni sawa asilimia 25 ya lengo la makisio mwaka ya Kufikia shilingi Bilioni 32.


Aidha, Mhe. Mvungi ameendelea kufafanua kuwa kwa kutumia mapato ya ndani ya halmashauri iliweza kutumia Tsh milioni 195.4 kwa ajili ya michango ya mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu na Tsh Bilioni 2.3 imetumika kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya halmashauri kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa Fedha 2022/2023.


Nae Mhe. Jaffary Nyaigesha Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo amewataka watumishi wa Manispaa hiyo kusimamia vyema ukusanyaji wa mapato kwa vyanzo vyote vya manispaa hiyo.


Pia, Mhe. Nyaigesha amemshukuru Mhe. Rais wa awamu ya sita Samia Suluhu Hassan kwa mgao wa Tsh Bilioni 1.62 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa vyumba 81 vya madarasa kwa shule 10 za Sekondari za Manispaa kwa ajili ya mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2023.


Mhe. Nyaigesha amewataka watumishi wa Manispaa hiyo kuendelea kusimamia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na manispaa hiyo kwa maslahi ya wananchi wa Manispiaa hiyo na Tanzania kwa ujumla.


#ubungoyetufahariyetu

#ubungoyakibingwa

#ubungoupdates

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa