• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAFUNZO ELEKEZI YA KUTUMIA MFUMO WA SBRS YATOLEWA UBUNGO

Posted on: December 6th, 2023

Msajili wa Vizazi na Vifo RITA kwa kushirikiana na Manispaa ya Ubungo imetoa mafunzo ya Ufunguzi wa usajili wa vizazi kwa watoto chini ya umri wa miaka 5 kwa kutumia mfumo mpya wa SIMPLYFIED BIRTH REGISTRATION SYSTEM (SBRS) kwa watendaji wa Kata, watendaji wa Mitaa na watumishi kutoka katika vituo vya kutolea huduma za afya vinavyotoa huduma ya mama,baba na mtoto ambapo mafunzo hayo yamefadhiliwa  na shirika la kuhudumia watoto Duniani (UNICEF)

Akifungua mafunzo hayo tarehe 6 disemba, 2023 Mwakilishi wa Katibu Tawala Wilaya ya Ubungo Diana Nkarage amesema kuwa, zoezi hilo ni kwa mujibu wa sheria ya vizazi na vifo sura namba 108 ya sheria  ya mwaka 2019  inayompa mamlaka msajili wa vizazi na vifo Rita kumuelekeza msajili kuwezesha mafunzo ya usajili  kwenye vituo vya kutolea huduma ya mama,baba na mtoto

Diana alieleza kuwa, zoezi hilo linaenda kusaidia Serikali kupata idadi ya watoto waliopo chini ya umri wa miaka 5 katika  Wilaya hiyo na litasaidia Serikali katika kuendesha zoezi la  uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la kwanza katika kipindi cha  miaka miwili ijayo.

Diana aliendelea kueleza kuwa, katika maswala ya afya zoezi litasaidia Serikali kujua idadi ya watoto ili iweze  kuelekeza nguvu ya  utoaji wa huduma ikiwemo malezi n.k

"Niwaombe mkaifanye kazi hii kwa kufata miongozo na mzingatie weledi, umahili na uzalendo katika kufanya kazi hii" alisisitiza Diana

Nae, Asnath Barnabas Afisa ulinzi wa watoto kutoka UNICEF, ameipongeza Serikali kwa hatua iliyofikia ya kutoa mafunzo kuelekea kwenye uzinduzi wa mfumo huo mpya wa usajili wa watoto ambao wako chini ya miaka mitano utakaofanyika tarehe 8 Desemba,2023.

Aliendelea kusema kuwa UNICEF pamoja na  SERIKALI YA CANADA na TIGO itasaidiana na Serikali ya Tanzania katika kuhakikisha zoezi la kusajili watoto linafanya kwa weledi.

Nae, Zainabu Masilamba Afisa Ustawi Manispaa ya Ubungo ambaye pia ni  mratibu wa zoezi hilo ameishukuru Rita kwa kusaidia zoezi hilo ambalo linaenda kuwafikia watoto wengi ambao awajasajiliwa na pia  amesisitiza kwa wanaopewa mafunzo kuhakikisha zoezi hilo linanyika kwa ufanisi
















Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa