• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAFUNZO YA TASAF AWAMU YA TATU SEHEMU YA PILI YAFANYIKA MANISPAA YA UBUNGO

Posted on: June 16th, 2020

Wawezeshaji wa TASAF katika Manispaa ya Ubungo wamepatiwa mafunzo ya namna ya kufanya uhakiki wa Kaya zinazostahili kupata fedha za TASAF awamu ya tatu sehemu ya pili katika ukumbi uliopo Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Luguruni.

Mafunzo hayo yamezinduliwa na Mwakilishi wa Mkurugenzi wa TASAF ambae pia ni mtaalam wa ufuatiliaji na tathmini Ndg. Fariji Mishael na kuhudhuriwa na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ambae pia ni Afisa Kilimo Happiness Mbelle, wakuu wa Idara na vitengo na wawezeshaji wa kaya.

Wawasilishaji mada katika mafunzo hayo hayo ni Wakuru C. Nyaratha, Mratibu TASAF Wilaya, Justine Bisangwa, Afisa Ufuatiliaji na Ushauri Wilaya, Dorothy Shiyyo, Afisa Uhawilishaji TASAF Makao Makuu na Sylvia Meku, Meneja wa Takwimu za Jamii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu.

Wakati akifungua mafunzo Ndg. Fariji aliwataka wakuu wa idara na wawezeshaji kwa ujumla kuwa waadilifu pindi kazi ya uhakiki itakapoenda kuanza.

Aliongeza kuwa zoezi la uhakiki linaenda kufanyika ili kubaini kaya ambazo tunazo kama zinastahili kuendelea kupata fedha za TASAF.

”Kuna baadhi ya kaya zimefanya maendeleo kiasi kwamba ukienda kupima kwa vigezo vilivyopo utagundua wanaweza kuendesha maisha yao, hivyo wanapaswa kuwapisha wale wenye vigezo” Alisisitiza Ndg. Fariji.

Nae Kaimu Mkurugenzi aliwaambia wajumbe kuwa Ofisi ya Mkurugenzi ipo wazi kusikiliza ushauri au kutoa ushauri pale itakapohitajika. Aliongeza kuwa kwa Ubungo uwezeshaji wa TASAF ulikuwa ukifanyika kupitia Manispaa ya Kinondoni lakini kwa sasa Wilaya inajitegemea hivyo hatuna budi kutoa ushirikiano wa kutosha.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa