• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAKABURI 29 YA UFI UBUNGO KISIWANI YAHAMISHWA KUPISHA UPANUZI WA BARABARA.

Posted on: July 10th, 2025

Jumla ya Makaburi 29 yamehamishwa katika eneo la Makaburi ya Ufi yaliyopo mtaa wa Kisiwani kata ya Ubungo na kupelekwa makaburi ya Serikali ya Mianzini, mtaa wa kwa Jongo kata ya Makurumla ili kupisha upanuzi wa barabara ya Ubungo - Kimara awamu ya kwanza BRT A.

Shughuli hiyo iliyofanyika Julai 10, 2025 imehusisha uhamishaji wa masalia ya miili 29, 8 ya Waislam na 21 ya Wakristo ambapo kati ya makaburi 29, Makaburi 6 ndugu zao hawakujitoza ambapo kati ya hayo, Makaburi Manne yametambuliwa kwa majina yaliyokuwepo kwenye makaburi huku Mawili pekee ndiyo yakishindwa kutambuliwa kabisa.

Akizungumzia zoezi hilo Afisa Afya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Bw. Hassan Chitu amesema Makaburi yaliyohamishwa ni yale yaliyopo karibu na barabara hiyo ya Ufi ( Ubungo Maziwa - Shekilango ) kama ambavyo yameainishwa na Mpimaji (Surveyor) wa ujenzi wa mradi huo wa barabara inayotarajiwa kujengwa kwa kiwango cha lami.

Ujenzi huo wa barabara unatekelezwa na Mkandarasi wa China Sichuan Road and Bridge Group Corporation Ltd (SRBG) anayehusika na upanuzi wa Barabara ya Ubungo -  Kimara na barabara Shikizi za Morogoro na Kawawa.

Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa Jumatano ya Septemba 25, 2024, Mkandarasi SRGB alitoa siku 7 hadi Oktoba 2, 2024 ndugu kujitokeza ofisi za Serikali ya Mtaa wa Kisiwani kwaajili ya utambuzi kabla ya kuhamishwa ambapo zaidi ya ndugu 100 walijitokeza.

"Kwa mujibu wa sheria ya uhamishaji wa makaburi ya Februari 6, 1969 inataka matangazo yatolewe miezi mitatu kabla. Na sisi, Matangazo yalitolewa kwenye vyombo vyote vya habari, ikiwemo Redio, Magazeti, na televisheni" amesema Chitu

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa wa Kisiwani, Ovin Ndimbo amesema ndugu walijitokeza katika ofisi hizo baada ya kupata taarifa zilizokuwa zinatolewa na mkandarasi huyo maeneo mbalimbali ikiwemo misikitini na makanisani.

"Zoezi limeenda vizuri, tulichokifanya kama viongozi ilikuwa ni kukusanya taarifa na orodha ya watu wote halafu michakato mingine imesimamiwa na mkandarasi."- amesema Ndimbo

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE.MALIMA KATIKA BANDA LA UBUNGO MAONESHO NANENANE

    August 06, 2025
  • UBUNGO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI, ZAHANATI YA GOBA

    August 05, 2025
  • MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA YAZINDULIWA

    August 04, 2025
  • USAFI WA MWISHO WA MWEZI WAFANYIKA MANZESE

    July 26, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa