• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAKAMPUNI YA URASIMISHAJI YATAKIWA KUMALIZA KAZI YAO HARAKA

Posted on: November 3rd, 2021

Naibu Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Mheshimiwa Angelina Mabula ameyataka Makapuni ya urasimishaji na upimaji Ardhi katika wilaya ya Ubungo  kukamilisha kazi hiyo ipasavyo na kwa wakati ili kuondoa kero ya wananchi ya kutopata hati za umilikishwaji wa ardhi kwa muda mrefu

Mabula ametoa maelekezo hayo   Novemba 03,2021 kwenye kikao kazi kilichohusisha makampuni hayo na wataalam wa ardhi wa Manispaa hiyo kutokana na uwepo wa malalamiko kwa wananchi juu ya ucheleweshwaji wa  upatikanaji wa hati pamoja na wananchi kuwa wameshalipia gharama za upimaji

"Mnapenda kazi za chapuchapu kwa Kutumia watu wasiohusika, haiwezekani michoro yote ikataliwe lazima kuna shida ikiwemo kupima eneo Mara mbili ili mpate viwanja vingi, hii haikubaliki hatua zitachukuliwa" alieleza  Mabula

Pamoja na kuyaelekeza makampuni kutekeleza kazi zao kwa wakati, Naibu Waziri amewaelekeza wataalamu wa Ardhi wa  Manispaa ya Ubungo 

 kuzuia Ujenzi holela katika maeneo mbalimabali kwa kuhakikisha wanajenga baada ya kupata  kibali  Cha ujenzi.



Ili kupunguza migogoro ya ardhi inayosababishwa na uelewa mdogo wa masuala ya ardhi, Naibu Waziri  amewaelekeza  wataalam  ardhi  kutoa elimu kwa wananchi kuhusu  Urasimishaji na masuala yote ya ardhi  ili wananchi waweze kuwa na uelewa wa kutosha.


Akisoma taarifa ya utekelezaji julai hadi oktoba 2021 Afisa Ardhi Manispaa ya Ubungo Fadhili Hussein  amesema kuwa jumla ya migogoro ya Ardhi  171 imepokelewa na migogoro 89 imepatiwa ufumbuzi , migogoro 41 ofisi inaendelea kuitafutia ufumbuzi na 41 inashughulikiwa ngazi ya mahakama  


Aliendelea kusema kuwa Halmashauri ilipokea maombi 17 ya wananchi na jumla ya leseni mpya za makazi 14 zilitolewa kwa wananchi  na leseni 708 zimelejeshwa kwa matumizi mbalimbali 


Vibali vya ujenzi 237  kutoka kwenye maombi 372 vimepitishwa ikiwa ni hatua ya kuhakikisha miji inapangwa inavyotakiwa.


Manispaa ya Ubungo ina jumla ya mitaa 61 ambayo zoezi la urasimishaji unatekelezwa na utekelezaji huo unafanyika kwa kushirikisha makampuni binafsi ya upangaji na upimaji yaliyosajiliwa kwa kujibu wa Sheria 


Aidha hadi kufikia mwezi oktoba 2021 jumla ya maeneo 181,390 yametambuliwa, michoro ya mipangomiji 503 yenye jumla ya viwanja 176,350 imendaliwa na kuidhinishwa,  aidha viwanja 74,563 vipo katika hatua za awali za upimaji , viwanja 17,776 vimepimwa na kusajiliwa  na jumla ya viwanja 3,158 vimeandaliwa hati miliki





2 Attachments


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa