• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MANISPAA YA UBUNGO YAPOKEA UGENI KUTOKA OR - TAMISEMI NA WADAU WA MNYORORO WA UGAVI NA USAMBAZAJI WA BIDHAA ZA AFYA

Posted on: May 17th, 2022

KIKAO KAZI 


Manispaa ya Ubungo leo tarehe 17 Mei ,2022  imepokea ugeni kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa -Tamisemi na wadau wa Mnyororo wa Ugavi na Usambazaji ambao walifika kuona utekelezaji wa mkakati wa Impact Team  ambao unalenga kutumia takwimu za bidhaa za afya katika kufanya maamuzi kama timu yenye lengo la kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya katika Vituo vya kutolea huduma za afya.


Akizungumza wakati wa kikao hicho Mfamasia wa  Manispaa ya Ubungo Bi. Doris Mollel  amezungumzia kuwa  ujio wa ugeni huo ambao umeleta manufaa katika kuwajengea uwezo zaidi wataalamu wa afya katika  kuboresha takwimu za bidhaa za afya sambamba na kutoa elimu ambayo impact team Manispaa ya Ubungo inaenda kuifanyia kazi 


"Mbinu ya Impact Team imetusaidia kwa kiwango kikubwa kukabiliana na changamoto mbalimbali za takwimu za bidhaa za afya na hivyo kuongeza kiwango cha dawa katika vituo vyetu lakini pia tumepokea elimu ambayo itaenda kutupa mwelekeo katika kuweka mbinu zaidi ambazo zitaenda kukabili changamoto ya bidhaa za Afya kwa kuhakikisha   zinapatikana muda wote katika vituo vya kutolea huduma. Alieleza Doris


Aidha, Ndg.Deus James Mfamasia na mwezeshaji wa Impact Team Approach wa kitaifa amewapongeza watumishi wa Idara ya Afya kupitia Impact team kwa kazi kubwa wanayofanya na kuwaaasa waendelee kufanya kazi kwa weledi na kuhakikisha uendeshaji wa mfumo wa  Bidhaa za Afya  katika Vituo unafanyika vizuri.


Nae Ondo Baraka mdau kutoka USA Global Health ambaye anafanya kazi na Wizara ya Afya katika kusaidia mifumo ya ugavi na usambazaji wa bidhaa za afya amezungumzia swala la ufuatiliaji wa afua za mnyororo wa ugavi na usambazaji wa bidhaa za Afya katika Vituo na katika eneo zima la kuchakata Data kuwa ni suala endelevu na linalotakiwa kupewa kipaumbele ili kuhakikisha wateja wanapata dawa muda wote.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa