• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MANISPAA YA UBUNGO YAPOKEA UGENI KUTOKA OR - TAMISEMI NA WADAU WA MNYORORO WA UGAVI NA USAMBAZAJI WA BIDHAA ZA AFYA

Posted on: May 17th, 2022

KIKAO KAZI 


Manispaa ya Ubungo leo tarehe 17 Mei ,2022  imepokea ugeni kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa -Tamisemi na wadau wa Mnyororo wa Ugavi na Usambazaji ambao walifika kuona utekelezaji wa mkakati wa Impact Team  ambao unalenga kutumia takwimu za bidhaa za afya katika kufanya maamuzi kama timu yenye lengo la kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya katika Vituo vya kutolea huduma za afya.


Akizungumza wakati wa kikao hicho Mfamasia wa  Manispaa ya Ubungo Bi. Doris Mollel  amezungumzia kuwa  ujio wa ugeni huo ambao umeleta manufaa katika kuwajengea uwezo zaidi wataalamu wa afya katika  kuboresha takwimu za bidhaa za afya sambamba na kutoa elimu ambayo impact team Manispaa ya Ubungo inaenda kuifanyia kazi 


"Mbinu ya Impact Team imetusaidia kwa kiwango kikubwa kukabiliana na changamoto mbalimbali za takwimu za bidhaa za afya na hivyo kuongeza kiwango cha dawa katika vituo vyetu lakini pia tumepokea elimu ambayo itaenda kutupa mwelekeo katika kuweka mbinu zaidi ambazo zitaenda kukabili changamoto ya bidhaa za Afya kwa kuhakikisha   zinapatikana muda wote katika vituo vya kutolea huduma. Alieleza Doris


Aidha, Ndg.Deus James Mfamasia na mwezeshaji wa Impact Team Approach wa kitaifa amewapongeza watumishi wa Idara ya Afya kupitia Impact team kwa kazi kubwa wanayofanya na kuwaaasa waendelee kufanya kazi kwa weledi na kuhakikisha uendeshaji wa mfumo wa  Bidhaa za Afya  katika Vituo unafanyika vizuri.


Nae Ondo Baraka mdau kutoka USA Global Health ambaye anafanya kazi na Wizara ya Afya katika kusaidia mifumo ya ugavi na usambazaji wa bidhaa za afya amezungumzia swala la ufuatiliaji wa afua za mnyororo wa ugavi na usambazaji wa bidhaa za Afya katika Vituo na katika eneo zima la kuchakata Data kuwa ni suala endelevu na linalotakiwa kupewa kipaumbele ili kuhakikisha wateja wanapata dawa muda wote.

Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA April 26, 2021
  • TANGAZO KWA WAMACHINGA WOTE November 20, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA

    July 01, 2022
  • MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU UHAKIKI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI YATOLEWA RASMI

    June 30, 2022
  • WAKANDARASI WA VIBAO ANWANI MAKAZI UBUNGO WAPEWA SIKU SABA

    June 28, 2022
  • MRADI WA BILIONI 69 KUNUFAISHA WANANCHI 450,000

    June 24, 2022
  • Tazama zote

Video

TIZAMA AMBAVYO WATUMISHI WA MANISPAA YA UBUNGO WANAVYOFURAHIA UTUMISHI WA UMMA.
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa