• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAZINGIRA SAFI HUVUTIA WATEJA, BABA NA MAMA LISHE WASISITIZWA KUZINGATIA

Posted on: April 24th, 2024

Baba na mama lishe kutoka katika kata na mitaa mbalimbali iliyopo katika Manispaa ya Ubungo wamepatiwa mafunzo kuhusu masuala ya lishe, kilimo mjini pamoja na masuala ya afya katika maeneo ya biashara 

Akifungua mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya kilimo, mifugo na uvuvi Manispaa ya Ubungo Archie Mtambo amewataka mama na baba lishe kuendana na wakati kwa kuzingatia mazingira safi ya uandaaji wa chakula wanapokuwa katika biashara zao sambamba na kuzingatia makundi sahihi ya vyakula kwa wateja yenye mlo kamili bila ya kuacha mbogamboga

Mtambo ameendelea kusisitiza na kuwataka kuzingatia afya ya mlaji na usafi wakati wa kuandaa vyakula kwani maradhi ni mengi

"Vionjo katika mapishi ni muhimu lakini ubunifu ni muhimu pia, pika chakula kuendana na usasa weka chakula katika mazingira safi wateja watakuja kwa wingi" amesisitiza Mtambo 

Akitoa elimu kuhusu masuala ya lishe, Afisa lishe Manispaa ya Ubungo Beatrice Mossile amewasisitiza kuzingatia ulaji unaofaa kwa kuwapikia wateja vyakula vyenye mchaganyiko wa makundi sahihi yenye mlo kamili

"Vyakula vyenye chumvi na sukari kwa wingi ni hatari, muweke maji ya kunawa yaliyo safi na salama na pia mazingira yawe safi. amesisitiza Mossile

Aidha, Afisa afya Manispaa ya ubungo Goodluck Mselle amewasitiza uzingatiaji wa usafi katika maeneo yao ya biashara na kufuata kanuni za afya ikiwemo kuweka vitunzia taka, sehemu ya kuhifadhia maji na kutokumwaga maji machafu ovyo

Nae, afisa kilimo-lishe  Stela Nzelu amewata kuzingatia upishi wa vyakula kwa kuzingatia mbogamboga na matunda kwaajili ya wateja na kuwapa elimu ya uzingatiaji wa mlo uliokamilika 

Mmoja wa mama lishe Shakira George ameishukuru Manispaa kwa kuwawezesha kupata mafunzo ambayo yamemnufaisha na kumsaidia na kuahidi kwenda kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa lishe bora yenye makundi sahihi ya vyakula

Wakiwa katika  mafunzo hayo mama na baba lishe wamefundishwa kwa vitendo namna ya kupika vyakula mbalimbali ili kuwaongezea ujuzi zaidi





Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa