• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO ATEMBELEA SOKO LA MBURAHATI

Posted on: January 8th, 2020

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic leo ametembelea soko la Mburahati kujionea maendeleo yake. Katika ziara yake hiyo Mkurugenzi aliambatana na baadhi ya wataalam kutoka Manispaa hiyo. Soko hili lilijengwa kwa ufadhili wa fedha kutoka Serikali ya Denimark ambayo ilitoa kiasi cha Tshs. Bilioni 1.2. Fedha hizo zilisimamiwa na TGT YAANI (Tanzania Growth Trust) na Vibindo ambazo hazikutosha na kusababisha mradi kusimama kwa takriban miaka miwili. Wakati huo Manispaa ya Kinondoni ilitafuta fedha kutoka vyanzo mbali mbali bila mafanikio.

Aidha Manispaa ya Ubungo ilipata bahati ya kupata fedha ya mradi mkakati mwaka 2018 jumla ya Tshs. Milioni 996 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo. Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ndiyo inayosimamia soko hili tangu mwanzo kwenye shughuli zote za uendeshaji. Mkurugenzi alisema kuwa awamu ya pili ya ujenzi huo unahusisha jengo la mama lishe na vyoo na kuwa Mkandarasi aliyepatikana ni SUMA JKT. 

Vile vile Mkurugenzi aliishukuru Serikali kwani tayari fedha za ujenzi wa awamu ya pili. zimepokelewa na muda si mrefu ujenzi utaanza. "Nimesikitishwa sana na kauli niliyoisikia hapo jana kuhusu Vibindo kwamba ndio waliohusika na ujenzi wa soko hili pamoja na wadau, kauli hiyo in ukakasi na upotoshwaji kwani Vibindo alidiriki kupotosha ukweli kuwa serikali imetoa Milioni 300 tuu." Alifafanua Mkurugenzi.

Beatrice alimaliza kwa kusema kwamba soko la Mburahati ni moja kati ya orodha ya miradi ya kimkakati ambayo inatekelezwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kusimamiwa na Manispaa ya Ubungo. Aliwaasa awafanyabiashara kutunza miundombinu ya soko ili kuenzi kazi kubwa inayofanywa na Serikali yetu.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa