• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKURUGENZI WA MANISPAA YA UBUNGO APOKEA MAKABATI 44 KUTOKA SHIRIKA LA JSI

Posted on: December 18th, 2019

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo BEATRICE DOMINIC  akiongozana na Wataalam wa Manispaa ya Ubungo leo amepokea makabati kutoka katika Shirika la JSI  katika Kata ya Kwembe.
Wakati akikabidhi  makabati hayo Mkurugenzi  wa JSI kanda ya Pwani  PAMELA MSEI  alisema kwa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo tutatoa makabati 44 ambayo yatakwenda katika Kata 10 ambazo zipo katika Halmashauri ya Ubungo.
 Kata hizo ni Kata ya Kwembe inakayopata makabati 8, Kata ya Goba makabati 4, Kata ya Kimara makabati 3, Kata ya Mabibo makabati 2, Kata ya Makurumla makabati 6, Kata ya Manzese makabati 2 ,Kata ya Mbezi makabati 5, Kata ya Saranga makabati 12, Kata ya Sinza kabati 1 na Kata ya Ubungo kabati 1.

Aidha Mkurugenzi wa JSI alitambulisha shirika la JSI kuwa ni shirika linalo  tekeleza Mradi wa uboreshaji wa mifumo ya afya na ustawi wa jamii.Katika Wilaya ya Ubungo tutakuwa na Kata kumi ambazo kama shirika la JSI tumehakikisha tunapeleka makabati ya kuifadhia taarifa za watoto na wanawake wanaokuwa wanafanyiwa ukatili wa kijinsia na tutakabidhi fomu namba tatu piece 78 ambazo zitasaidia katika ukusanyaji wa taarifa. Aliyasema hayo Mkurugenzi wa JSI.
Baada ya kupokea Makabati hayo *Mkurugenzi Beatrice Dominic alitoa shukrani zake za pekee kwa shirika la JSI na Mkurugenzi wa JSI kwa mchango wao wa Makabati waliyoyatoa katika Kata ya Kwembe.
Nishukuru kwa JSI kwa kazi wanayofanya hasa kwa Halmashauri ya Ubungo na niagize makabati haya yakahifadhie taarifa zinazostahili kuwekwa katika makabati haya na si vinginevyo na nitafuatilia hili katika kata hizi kuliangalia hili kwa umakini na kufwatilia.

Pia niagize kwa watendaji ambao mpo chini yangu tufanye kazi kwa haki na tutekeleze yale ambayo mradi unategemea kwamba tutayafanya na sisi kama Wataalam tuhakikishe haya yanayofadhiliwa na wenzetu tunayafanyia kazi. Alisema hayo Mkurugenzi  Beatrice Dominic

Aidha Nipende kusisitiza wanakamati mkiwa katika vikao vyenu mjadili mambo yote muhimu na muhakikishe mnapata taarifa sahihi za watoto wanaohishi katika mazingira magumu na muhakikishe mnashughulikia vyema na mtumie vikao mnavyofanya mtoe taarifa za sehemu mnapotoka na mziweke katika maandishi.  Aliongeza Mkurugenzi Beatrice Dominic
Nae Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ubungo Ndg.PETER NSANYA  alitoa shukrani zake kwa Shirika la JSI kwa mchango wao walio hutoa kwa Manispaa ya Ubungo na kuahaidi makabati hayo yatatumika ipasavyo katika kuhifadhi taarifa za watoto hao.






Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa