• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MRADI MKUBWA WA KITUO CHA BIASHARA NA LOGISTIKI CHA AFRIKA MASHARIKI KUANZA KUJENGWA UBUNGO

Posted on: January 20th, 2023

Leo Januari 19, 2023 mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla amefanya ziara ya kukagua eneo la ujenzi wa kituo kikubwa cha biashara (Shopping Mall) kinachotarajiwa kuanza kujengwa kesho Januari 20, 2023 katika eneo la kituo cha zamani cha Mabasi Ubungo 

Mradi huo ambao unatarajiwa kukamilika mwezi Juni 2024, una thamani ya dola za kimarekani Milioni 118 sawasawa na pesa za kitanzania Bilioni 271 na utakua na maduka pamoja na ofisi 2,060 ambapo wafanyabiashara wadogo na wakubwa watakuwepo pamoja na watengenezaji wa bidhaa mbalimbali kutoka China hivyo wafanyabiashara wa Tanzania na Afrika mashariki watapata fursa ya kuuza na kununua bidhaa zao katika kituo hiki 

Mapema akiongelea mradi huo, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James amesema kuwa, mradi huo unaenda kuwa na faida kubwa kwa Manispaa ya Ubungo kwa upande wa mapato, ajira kwa watanzania wengi pamoja na kuitangaza tanzania kibiashara kote Afrika Mashariki 

Nae mkurugenzi wa kampuni ya East - Africa Commercial & Logistics Center ambao ndo wawekezaji katika mradi huo ndugu Catherine Wang amesema, dhamira ya mradi huo ni kuleta bidhaa zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu


Akiongea katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makala amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuifungua nchi yetu kimataifa kwenye masuala ya kibiashara ambapo wawekezaji wengi kutoka nchi mbalimbali sasa wanavutiwa kuja kuwekeza Tanzania. Pia mradi huu upo katika eneo zuri kimkakati kwaajili ya biashara hivyo utaleta tija kubwa kwa nchi yetu 

"Eneo hili ni zuri sana kwasababu ni makutano ya barabara zote hivyo ni rahisi kutoka sehemu yoyote ndani ya Dar es Salaam, Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Hongereni sana Manispaa ya Ubungo na Mwekezaji" Alisema Makalla

viongozi  wakitazama mradi jinsi utakavyokuwa baada ya kukamilika

Aidha mradi huo unatarajiwa kuongeza mahusiano mazuri ya kibiashara na nchi mbalimbali duniani na bila kusahau mradi utaipendezesha Manispaa ya Ubungo na Dar es Salaam kwa ujumla


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa