• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MRADI WA BILIONI 69 KUNUFAISHA WANANCHI 450,000

Posted on: June 24th, 2022


Wananchi 450,000 wa Ubungo, Bagamoyo na maeneo mengine ya jiji la Dar es Salaam wanatarajia kunufaika na huduma ya maji kupitia mradi wa maji kutok Bagamoyo hadi chuo kikuu cha Ardhi ambao upo hatua za mwisho za ukamilishaji

Hayo yamebainika Leo Juni 24, 2022 wakati Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James akiambatana na timu ya wataalamu pamoja na DAWASA walipokagua mradi wa maji unaotekelezwa na DAWASA wenye thamani ya Bilioni 69

Mradi wote huo unatoka Bagamoyo - Chuo kikuu cha Ardhi DSM ambao unahusisha ujenzi wa matenki matatu ya maji (Tegeta A, Mbweni na Vikawe) pamoja na ujenzi wa vituo viwili vya kusukumia maji (Wazo na Mapinga) ambao ukikamilika unaenda kumaliza changamoto ya maji kwa maeneo mengi ikiwemo kata ya Goba na Mbezi.

Katika ziara hiyo Mheshimiwa Kheri ameridhishwa sana na utekelezaji wa mradi huo na amewaagiza DAWASA kuendelea na kasi hiyo hiyo wanayoenda nayo sasa kuelekea kwenye kukamilisha mradi huo kwa wakati.

"DAWASA mnafanya kazi nzuri sana ndani ya wilaya ya Ubungo kwenye utekelezaji wa miradi ya maji yenye nia ya kumtua ndoo mama kichwani hivyo basi kupitia miradi hii naamini tatizo la maji Ubungo litakua historia katika kipindi kifupi sana kijacho. Wananchi wanaona matenki ya maji lakini wanataka kuona maji" alisema

Nae Mkurugenzi wa miradi wa DAWASA Mhandisi Ramadhan Mtindasi, wakati akitoa maelezo kuhusu ujenzi wa mradi huo, amemuhakikishia Mkuu wa Wilaya pamoja na wananchi wa Ubungo kwa ujumla kuwa mpaka kufikia mwezi Disemba mwaka huu mradi huo wa maji utakua umekamilika tayari kuanza kutoa huduma kwa wananchi wakiwemo wa Wilaya ya Ubungo

#UbungoYetuFahariYetu

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa